Eric Omondi: How To Be Diamond Platnumz

imepangwa hii,wana show ya pamoja karibuni huko kenya,hakuna alichopnda zaidi ya kumuongezea umaarufu.

maana halisi ya superstar.
uyo jamaaa nyerere hampendi chibu,hajawai msifia ata siku moja
 
Kilichotumika hapo ni fasihi bezo fasihi kebehi
Hakuonyesha mafanikio ya Diamond bali kaonyesha vitu visivyo na maana kabisa
Huyu hawezi kumsifu na kumsifia diamond hata mara moja kwasababu za wazi kabisa
mkuu hajamponda hapo kaeleza sifa za haraka za kumtambua chibu ambazo ni tofaut na wengne ukisema amtaje kwa mafankio kuna wasanii wengne east afrca n africa washapata,eric n chibu ni marafik mnooooo,eric kafanya cover za nyimbo za chibu kama 3, na wanashow soon
 



Nafahamu sana na huu ndio utakuwa utetezi wa jamaa na kwa vile kaifanya hiyo kwenye kipindi chake cha vichekesho.

Nadhani kwenye hili tuna tafsiri tofauti kuhusiana na mitazamo yetu
 
Hii imetulia sijaona ubaya wake ni commedy tu. Commedians wengi sana wanafanya hivyo mbona kama Trevor Noah na wengine hata wa bongo kina Mpoki mbona kugiza watu wanafanya sana...
 
Huyu hawezagi kuchekesha bila kumtaja Diamond?
 
Kilichotumika hapo ni fasihi bezo fasihi kebehi
Hakuonyesha mafanikio ya Diamond bali kaonyesha vitu visivyo na maana kabisa
Huyu hawezi kumsifu na kumsifia diamond hata mara moja kwasababu za wazi kabisa
Hapana bhana mshana jr! Kwanza theme ya video sio kuonesha mafanikio ya Diamaond au kumsifia bali how to be Diamond! Vilevile tusisahau haters wa Diamond wana visababu vyao vya kuonesha Diamond is just a trash! Hivi visababu kila siku vinabadailika! Kwa mfano, kwa haters wa Diamond, ni kama Chibu hatakiwi kuwa na demu lakini akiwa na demu tu; tayari utasikia Diamond anatafuta kiki kwa mademu!! 99.9% ya wana Bongo Flavor wanatumia playback lakini siku zote anayepondwa kutumia playback ni Diamond! Na usishangae ukakuta hao wanaoponda playback ya Diamond nao ni die hard fans wa mwanamuziki anayetumia playback! Sasa assume ingekuwa kuna scene, Eric Omond as Diamond anapanda jukwaani na anakuta vifaa for live performance! Ile kuona issue ni live, anaanza kudata na kuagiza awekewe CD for playback! Hapo kweli ingekuwa moja kwa moja anamkejeli Diamond!
 
its just a comedy guys sidhani kama kna kitu chochot personal just for fun tu nafikiri
 
Kawaida ila baadhi wabongo wataichukulia seriously, hii haina tofauti na anavyofanya Kevin Hart Kuna vipande YouTube.com anamuigizia easy E wa NWA. Nimegundua huyu jamaa amegundua uwezo wa diamond na kuaappriciate uwezo wake ila katumia njia ya komedi. Kwa wachekeshaji wakibongo Kuna cha kujifunza ukimuangalia OMONDI na KANSIINE wa Uganda wapo vizuri na wabunifu kweli kweli, wanauwezo wakukuchesha bila hata kujibadilisha, kama huku kwetu mwanaume kuvaa nguo za kike haipendezi.
 
haaaaaa nimecheka hatari

ila Diamond ana la kujifunza hasa mambo ya kutembea na crew nzima
Unajua Ne-Yo alivyokuja kwenye Jembeka Mwanza lililodhaminiwa na Vodacom la mwaka huu alikuja na crew ya watu wangapi?
 
wakenya wanatutukanaga sana nimependa hiyo ukitoka jukwaani run Dj akimbie kila mtu akimbie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…