Uchaguzi 2020 Eric Omondi Lands in Tanzania Aboard Presidential Jet

Ile fix ya kubana matumizi ili fedha zisaidie watanzania ilisha sahaulika zamani!
Walijua ndege, flaiova na stiglasjoji zitasaidia, so far kabla ya "ni yeye" hajatua mambo yalikua baridiiii kwa upande wa upinzani kwakuwa hawakuwa na nafasi ya kuongea popote ktk nchii hii. Hili liliwapa ccm confidence feki wakajua kilakitu kimeisha.

Si unakumbuka walikua wanasema mwaka huu hata kampeni hawatafanya, walivoona upepo wakafungulia silaha zote. Wasanii, polisi, tume, wakurugenzi na Erick Omondi all the way from Nyayo.
 
Air Tanzania ndio presidential Plane??
 
Kuwa na mshipa wa aibu basi!Uko tayari kuuza utu wako kiasi gani kwa kutetea upumbavu wa wazi?
 
Kuwa na mshipa wa aibu basi!Uko tayari kuuza utu wako kiasi gani kwa kutetea upumbavu wa wazi?

Aibu ipi? Kwani rais anapopewa ndege nani ambaye anaamua ifanye nini na wapi? Kuna mgogoro mkubwa kati ya Tanzania na Kenya na swala hilo ndio limepelekea kupata hiyo huduma. Wacheni wivu!
 
Air Tanzania ndio presidential Plane??
Huwa hamna akili vijana wa lumumba!Hivi unajua ndege yeyote inaweza kupewa hadhi na kuwa ndege ya rais?Mambo ya clearence na priority kwenye anga yanakuwa sawa na hadhi ya ndege ya Rais!Mfano Air Tanzania inaweza ikawa imepigwa ban kutua kenya ila ikipewa hadhi ya ndege ya Rais basi inaweza kutua huko!
 
Ndege za kenya zinazuiliwa lakini za kwetu kwao zinaenda ! hivi viongozi wetu hawana aibu ?
 

 
Mbona ndege hii siyo ya Rais!!!!
 
BTW hiyo ndege inatumika sana tu, labda kwa sababu nyie hamfahamu tu.
 
Kwa hiyo hii dash 8 ya Atcl ni presidential jet? Acha upuuzi wewe mleta mada.
 
Soma link hiyo au ngeli inakupiga chenga.

Au hujui ndege ya Rais ni nini? Mawazo yako unataka hadi iandikwe Ndege ya Rais?

Hata precision inaweza kuwa bdege ya Rais.
Kwa hiyo hii dash 8 ya Atcl ni presidential jet? Acha upuuzi wewe mleta mada.
 
Your browser is not able to display this video.

Hii ndiyo Jet ya rais siyo? Kila pumba za magazeti mnaziamini. Huyu ni comedian na amewapiga uongo na mmemuamini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…