Uchaguzi 2020 Eric Omondi Lands in Tanzania Aboard Presidential Jet

Mzee Kikwete aliposema "zilongwa mbali, zitendwa mbali!" Yanayosemwa tofauti na yatendwayo!!
Kumuamini mwanaccm ayasemayo inabidi ubongo uupe likizo kwa maana HAWAJAANZA LEO!!
 
Reactions: BAK
Kwa hili mnawaonea CCM, Huyu jamaa alikuja show ya cheka tu, inaoneakana alikuja na ndege nyingine, then ndo akapanda air tanzania. Angalieni page yake ya instagram
Wacha upumbavu Atc haina route ya kenya.
Hii ndege iliombewa kibali maalum kwenda Kenya.
Na abiria alikua mmoja tu.
Na alipewa hadhi ya kukaa vip


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali yangu itabana matumizi,yaani mtu atumie hovyo hovyo mali za serikali hiiiiiiii-Uchaguzi 2015.
 
Wacha upumbavu Atc haina route ya kenya.
Hii ndege iliombewa kibali maalum kwenda Kenya.
Na abiria alikua mmoja tu.
Na alipewa hadhi ya kukaa vip


Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wewe ndo mpumbavu, angalia video wakati anaondoka siyo ATCL, ila kashuka kwa ATCL

Possibly aliondoka na ndege ya kenya hadi karibu na Namanga, akavuka boda kawaida then shuttle hadi KIA
Ndo akapanda ATCL, watu wengi ndivyo wanavofanya.


Na kuita presidential plane hiyo ni kawaida yake.

Yeye anajiita President of Comedy Africa.

Kila kitu chake hujiita na kujipa presidential status.


Alikuja alikuwa na show mlimani city ya cheka tu.



Ukishindwa angalia kwa page yake angalia page ya coymzungu au chekatu instagram.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…