Eric Omondi: Maandamano Kila siku Ili serikali ikose pesa Kama jinsi raia wa kawaida wanavyokosa pesa

Eric Omondi: Maandamano Kila siku Ili serikali ikose pesa Kama jinsi raia wa kawaida wanavyokosa pesa

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617


MY TAKE: Hivi Sasa Kenya imefikia katika hali ngumu Sana ya kiuchumi na kisiasa, watu mbalimbali hutoa main mbalimbali. Naomba tujadili hii kauli ya Eric Omondi, Je yupo sahihi?

Wakenya tafadhalini wakati wa kujadili tumieni akili sio hisia zenu za ukabila.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
si wanasema maadamano ya siku 1 yanaikosesha serikali mapato biliion kadhaa.

kama wananchi hawana fedha vivyo hivyo na serikali ipate hyo shda.

Yuko sahihi
 
Back
Top Bottom