Pre GE2025 Eric Shigongo atoa mitaji kwa akina Mama wa Jimbo la Buchosa

Pre GE2025 Eric Shigongo atoa mitaji kwa akina Mama wa Jimbo la Buchosa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

upupu255

Senior Member
Joined
Sep 4, 2024
Posts
119
Reaction score
144
Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo, ameendelea na zoezi la kutoa mitaji kwa akina mama wa Jimbo la Buchosa, ambapo leo alitoa shilingi milioni 2 kwa akina mama wa Kata ya Kalebezo.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Mwenyekiti wa akina mama wajasiriamali wa Kata ya Kalebezo, Tabu Mhaya, amempongeza Mbunge Shigongo kwa juhudi zake za kuwajali akina mama na kuwapatia mitaji itakayowasaidia kukuza biashara zao.

Utoaji wa mitaji kwa akina mama katika kila kata ya Jimbo la Buchosa ni sehemu ya mpango wa Mbunge Shigongo wa kuondoa akina mama katika mzunguko wa umaskini, kwa kuwa wao ni walezi wa familia.

Screenshot 2025-03-05 175817.png
 
Indirect rushwa, kukaribia kipindi cha uchaguzi.
 
Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo, ameendelea na zoezi la kutoa mitaji kwa akina mama wa Jimbo la Buchosa, ambapo leo alitoa shilingi milioni 2 kwa akina mama wa Kata ya Kalebezo.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Mwenyekiti wa akina mama wajasiriamali wa Kata ya Kalebezo, Tabu Mhaya, amempongeza Mbunge Shigongo kwa juhudi zake za kuwajali akina mama na kuwapatia mitaji itakayowasaidia kukuza biashara zao.

Utoaji wa mitaji kwa akina mama katika kila kata ya Jimbo la Buchosa ni sehemu ya mpango wa Mbunge Shigongo wa kuondoa akina mama katika mzunguko wa umaskini, kwa kuwa wao ni walezi wa familia.

Rushwa ifikapo uchaguzi
 
Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo, ameendelea na zoezi la kutoa mitaji kwa akina mama wa Jimbo la Buchosa, ambapo leo alitoa shilingi milioni 2 kwa akina mama wa Kata ya Kalebezo.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Mwenyekiti wa akina mama wajasiriamali wa Kata ya Kalebezo, Tabu Mhaya, amempongeza Mbunge Shigongo kwa juhudi zake za kuwajali akina mama na kuwapatia mitaji itakayowasaidia kukuza biashara zao.

Utoaji wa mitaji kwa akina mama katika kila kata ya Jimbo la Buchosa ni sehemu ya mpango wa Mbunge Shigongo wa kuondoa akina mama katika mzunguko wa umaskini, kwa kuwa wao ni walezi wa familia.

Rushwa zimeanza walikuwa wp siku zote
 
Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo, ameendelea na zoezi la kutoa mitaji kwa akina mama wa Jimbo la Buchosa, ambapo leo alitoa shilingi milioni 2 kwa akina mama wa Kata ya Kalebezo.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Mwenyekiti wa akina mama wajasiriamali wa Kata ya Kalebezo, Tabu Mhaya, amempongeza Mbunge Shigongo kwa juhudi zake za kuwajali akina mama na kuwapatia mitaji itakayowasaidia kukuza biashara zao.

Utoaji wa mitaji kwa akina mama katika kila kata ya Jimbo la Buchosa ni sehemu ya mpango wa Mbunge Shigongo wa kuondoa akina mama katika mzunguko wa umaskini, kwa kuwa wao ni walezi wa familia.

Kwanini kipindi hiki!
 
Back
Top Bottom