Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu
Katika pita zangu zangu leo nikasikia jamaa anayemiliki dar live anaitwa erick shigongo, nikawaza huyu jamaa ni nan ni mchaga wa wap huyu
Badae nikasikia hata gazet nililokuwa nasoma gazet fulan la michezo wakasema hata lenyewe ni lake nikashituka kidogo nikawaza huyu jamaa ni yupi
Kuna wengine wakadai jamaa anamiliki maghorofa kadhaa kwa far na mwanza tena jamaa ananilekeza ghoropha kazaa kwa mwanza nikazifahamu. nilishituka sana aisee
Jamaa mwingine akasema huyu jamaa ana chanel YouTube kwa mwez anapiga kama milion 30-50
Mwingine tena akasema jamaa kwa sasa yuko chuo mwaka wa kwanza hapo ndo nilipogopa zaid nikajiuliza sasa huyu jamaa yuko chuo mwaka wa kwanza na anamiliki dar live na magazet hela kapata wapi na alianza shule lin na alifanya dili gan aisee
Naomba kumufam aisee maana anaoneka kama jamaa yuko mbali sana. Yaweza kuwa tukapata nas maujanja njia alizopita nasi tukatusua
LONDON BOY
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu
Katika pita zangu zangu leo nikasikia jamaa anayemiliki dar live anaitwa erick shigongo, nikawaza huyu jamaa ni nan ni mchaga wa wap huyu
Badae nikasikia hata gazet nililokuwa nasoma gazet fulan la michezo wakasema hata lenyewe ni lake nikashituka kidogo nikawaza huyu jamaa ni yupi
Kuna wengine wakadai jamaa anamiliki maghorofa kadhaa kwa far na mwanza tena jamaa ananilekeza ghoropha kazaa kwa mwanza nikazifahamu. nilishituka sana aisee
Jamaa mwingine akasema huyu jamaa ana chanel YouTube kwa mwez anapiga kama milion 30-50
Mwingine tena akasema jamaa kwa sasa yuko chuo mwaka wa kwanza hapo ndo nilipogopa zaid nikajiuliza sasa huyu jamaa yuko chuo mwaka wa kwanza na anamiliki dar live na magazet hela kapata wapi na alianza shule lin na alifanya dili gan aisee
Naomba kumufam aisee maana anaoneka kama jamaa yuko mbali sana. Yaweza kuwa tukapata nas maujanja njia alizopita nasi tukatusua
LONDON BOY