JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Man City inataka kukamilisha mapema mchakato huo mapema, ada ya usajili inatwa kuwa ni paundo milioni 63 (Tsh bilioni 190), kama kila kitu kitaensa sawa anaweza kusajiliwa kwa mkataba wa miaka mitano wiki ijayo.
Hiyo inakuja licha ya kuwa wiki iliyopita Dortmund ilisema kuwa hakuna mazungumzo yoyote yaliyofanyika kuhusu mchezaji huyo ambaye pia anawaniwa na Real Madrid na Paris Saint-Germain.
Source: DailyMail