Hilo jibu ni sahihi. Waajiri wengine husema kabisa ukiona kimya ujuehuja fanikiwa.Nadhan wasipokuita ujue huja-qualify,mbona wapo wadau wanaitwa,friend of mine yeye alifanya written akaitwa oral,akashinda na leo yupo voda,,,,wamempromote hayupo tena customer service
Nadhan wasipokuita ujue huja-qualify,mbona wapo wadau wanaitwa,friend of mine yeye alifanya written akaitwa oral,akashinda na leo yupo voda,,,,wamempromote hayupo tena customer service
mkuu hiyo labda kitambo kidogo. Siku hizi nafikiri mambo ya kujuana na hongo pia yapo tena sana tu. Tests zao hazina ugumu wowote..erolink Kuitwa Oral interview imekuwa majaliwa siku izi.
Hawa jamaa wanaajiri kabisa, kuna watu wengi waliopo NBC wao wamewafanyia usaili, me wamewahi kuniita mara mbili, mara ya kwanza walinipigia simu saa saba wakidai niende kabla ya saa tisa, sikuweza kwenda, mara ya pili ilikuwa machi 2012 walinihitaji nifike siku hiyo kabla ya saa kumi jioni, tena tulielewana hadi mshahara na eneo la kufanya kazi ila sikuweza kufika tena. Me nataka niwaambie kwamba nawafahamu wapo tena washikaji wapo poa kwa mfano yupo Nancy, Adam na washikaji wengine kibao tu,
Lazima tukubaliane kwamba KIINGEREZA KINATUFANYA KUKOSA NAFASI...Tell us about yourself, poromoka acha mbwembwe, andika CV fupi ya Kisomi Max 3pages, Onyesha kwamba unafahamu kile unachoongea...I am good problem solver,,,haya tupe mfano.....kimya.....Lazima tubadilike TWENDE PAMOJA, ME PIA NI FIGHT...NIKOSOE NIJIREKEBISHE HAPA FORWARD FOREVER BACKWARD NEVER
Hawa jamaa wanaajiri kabisa, kuna watu wengi waliopo NBC wao wamewafanyia usaili, me wamewahi kuniita mara mbili, mara ya kwanza walinipigia simu saa saba wakidai niende kabla ya saa tisa, sikuweza kwenda, mara ya pili ilikuwa machi 2012 walinihitaji nifike siku hiyo kabla ya saa kumi jioni, tena tulielewana hadi mshahara na eneo la kufanya kazi ila sikuweza kufika tena. Me nataka niwaambie kwamba nawafahamu wapo tena washikaji wapo poa kwa mfano yupo Nancy, Adam na washikaji wengine kibao tu,
Lazima tukubaliane kwamba KIINGEREZA KINATUFANYA KUKOSA NAFASI...Tell us about yourself, poromoka acha mbwembwe, andika CV fupi ya Kisomi Max 3pages, Onyesha kwamba unafahamu kile unachoongea...I am good problem solver,,,haya tupe mfano.....kimya.....Lazima tubadilike TWENDE PAMOJA, ME PIA NI FIGHT...NIKOSOE NIJIREKEBISHE HAPA FORWARD FOREVER BACKWARD NEVER
Hawa jamaa wanaajiri kabisa, kuna watu wengi waliopo NBC wao wamewafanyia usaili, me wamewahi kuniita mara mbili, mara ya kwanza walinipigia simu saa saba wakidai niende kabla ya saa tisa, sikuweza kwenda, mara ya pili ilikuwa machi 2012 walinihitaji nifike siku hiyo kabla ya saa kumi jioni, tena tulielewana hadi mshahara na eneo la kufanya kazi ila sikuweza kufika tena. Me nataka niwaambie kwamba nawafahamu wapo tena washikaji wapo poa kwa mfano yupo Nancy, Adam na washikaji wengine kibao tu,
Lazima tukubaliane kwamba KIINGEREZA KINATUFANYA KUKOSA NAFASI...Tell us about yourself, poromoka acha mbwembwe, andika CV fupi ya Kisomi Max 3pages, Onyesha kwamba unafahamu kile unachoongea...I am good problem solver,,,haya tupe mfano.....kimya.....Lazima tubadilike TWENDE PAMOJA, ME PIA NI FIGHT...NIKOSOE NIJIREKEBISHE HAPA FORWARD FOREVER BACKWARD NEVER
Hawa jamaa wanaajiri kabisa, kuna watu wengi waliopo NBC wao wamewafanyia usaili, me wamewahi kuniita mara mbili, mara ya kwanza walinipigia simu saa saba wakidai niende kabla ya saa tisa, sikuweza kwenda, mara ya pili ilikuwa machi 2012 walinihitaji nifike siku hiyo kabla ya saa kumi jioni, tena tulielewana hadi mshahara na eneo la kufanya kazi ila sikuweza kufika tena. Me nataka niwaambie kwamba nawafahamu wapo tena washikaji wapo poa kwa mfano yupo Nancy, Adam na washikaji wengine kibao tu,
Lazima tukubaliane kwamba KIINGEREZA KINATUFANYA KUKOSA NAFASI...Tell us about yourself, poromoka acha mbwembwe, andika CV fupi ya Kisomi Max 3pages, Onyesha kwamba unafahamu kile unachoongea...I am good problem solver,,,haya tupe mfano.....kimya.....Lazima tubadilike TWENDE PAMOJA, ME PIA NI FIGHT...NIKOSOE NIJIREKEBISHE HAPA FORWARD FOREVER BACKWARD NEVER