Simu gani??Wakuu,
nilikuwa na flash simu yangu then bahati mbaya pc ilitaka kuanguka so nilipoidaka simu ika chomoka na process iksimama
sasa kila nikijaribu ku flash tena inakataa, simu hiwaki lakini ile taa nyekundu ya charge inawaka ila haioneshi kama chaji inaingia
Naomb msaada wa kulitatua tatizo hili
cc: Mkwawa
nimecheka japo sio mazurimbaya pc ilitaka kuanguka so nilipoidaka
Simu gani, (hili ndio swali la msingi)Wakuu,
nilikuwa na flash simu yangu then bahati mbaya pc ilitaka kuanguka so nilipoidaka simu ika chomoka na process iksimama
sasa kila nikijaribu ku flash tena inakataa, simu hiwaki lakini ile taa nyekundu ya charge inawaka ila haioneshi kama chaji inaingia
Naomb msaada wa kulitatua tatizo hili
cc: Mkwawa