DOKEZO Escalator za Terminal two hazifanyi kazi tangu mwaka 2023

DOKEZO Escalator za Terminal two hazifanyi kazi tangu mwaka 2023

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
Nilisafiri October 2023 ambapo escalator za terminal two zilikuwa hazifanyi kazi. Mwaka huu nasafiri tena nakuta escalator hazijatengenezwa.

Kimisingi nimeumia kuona wamama ambao kutumia ngazi ni shida wanalalamika kupanda.

Nadhani ni vyema kuzingatia wenye mahitaji maalumu. Nimeshudia wamama zaidi ya mmoja wakilalama kuhusu kupanda kwenda juu ili kudeparture.

Jamani eekh! Pale ni parefu sana, kwa watu wenye shida na ngazi wanaumia.

Ngazi zitengenezwe.
20240105_052452.jpg
20240105_052450.jpg
20240105_052437.jpg
 
Back
Top Bottom