Espionage; How agents transmit findings

Ila hao maspy wote cha mtoto kwa mapunda wa kitanzania.wee mtu anasafirisha kete kadhaa za sembe toka bongo hadi uchina kwa njia ya haja kubwa na bado anawasili salama bila kushukiwa.
Hao ni rahisi tu kushikwa, sema tu mamlaka husika zimeendekeza rushwa. Mtu aliyehifadhi madawa tumboni mwake akifanya full body screening mbona yanaonekana tu
 
Niachoamini through this post mtoa mada Yuko hapa kuthibitisha alichosoma katika vyanzo vyake
Hongera kwa kuongeza maarifa na ukawamegea wenzio sisi
Pamoja sana mkuu
 
kuna mada iliyokuwa na kichwa TISS wanatumia vyombo Gani vya mawasiliano? ilianzaishwa siku kama tatu zilizopita ila naona ilikwisha fungiwa. kwa sasa naona umeamua kuja kwa style nyingine tofauti kabisa. rai yangu kubwa kwetu sote ni kwamba naomba tusipende kuwachimba sana hawa ndugu zetu wa TISS kwa kuwa wanayoyafanya ni kwa maslahi ya taifa zima la Tanzania pasipo kujalia itikadi zetu. kuelimishana kuhusu taaluma hii kongwe ya ujajusi si vibaya sana lakini naomba tujiwekee mipaka ya vitu vya kuuliza.
Long live Tanzania.
"Das Billige ist immer das Teuerste"
 
Hao ni rahisi tu kushikwa, sema tu mamlaka husika zimeendekeza rushwa. Mtu aliyehifadhi madawa tumboni mwake akifanya full body screening mbona yanaonekana tu
mkuu,kuna taarifa kuwa sio mapunda wanaofanikiwa kupitia ktk viwanja vya ndege bila kushukiwa wametoa rushwa.

inasemekana wengine hutumia sayansi ya kiafrika.
 
Tiss haijatajwa hapa, acha kuleta uchochezi, rejea kichwa cha habari.
 
Sawa mkuu. Ndiyo maana nimesema machache tu
 
mkuu,kuna taarifa kuwa sio mapunda wanaofanikiwa kupitia ktk viwanja vya ndege bila kushukiwa wametoa rushwa.

inasemekana wengine hutumia sayansi ya kiafrika.
Kuzidiana akili na uwezo iyo ni kawaida
 
Animals,
1. Birds.
2. Rodents (squirrels are the best)
3. Dolphins.
4. Cats and dogs. (Thou the feline family is too unstable)

Broadcasting,
1. Radio broadcasting. ( Notoriously used in Kossovo)
2. Television broadcasting.

Theatre and Arts,
1. Paintings.
2. Movies. ( The CIA and MOSSAD use this, thanks to Joseph Goebbels and Abhwer for developing this)
3. Music. ( Used in Yugoslavia, Afghanistan and Chechnya)
4. Books. (Developed by the British secret service)
 
Noted sir
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…