Espionage; How agents transmit findings

Mk
Talk more
Mkuu,huo mwavuli unakua unaweza kua assembled kwa kutoa kile sehemu ya mbele ya kichuma cha mwamvuli na kuweka taarifa au risasi, kwa kutegemea matumizi ya huo mwavuli
 
Umesahau ile ya kuonana ana kwa ana sehemu za mafichoni kama underground garages. Na kumtumia njiwa anayekuwa trained.
Ndiyo mkuu. Nashukuru kwa mchango wako.

Kwenye viwanda vibovu, bars, seminars, churches, mosques etc
 
Hii sawa ilitumika sana.... Na pia inaendelea kutumika.... Kukua kwa technology imeua njia nyingine na kufungua njia za kisasa zenye ulinzi wa hali yajuu
 
Ipi iy
Hii sawa ilitumika sana.... Na pia inaendelea kutumika.... Kukua kwa technology imeua njia nyingine na kufungua njia za kisasa zenye ulinzi wa hali yajuu
Ipi iyo mkuu???

Alf sio kila kitu ambacho ni old fashioned maana yake ni obsolete. Zingine zinatumika
 
sisi ma spai wa kisasa tunatumia whatsap na instagram basi na ujumbe unafika
 
sisi ma spai wa kisasa tunatumia whatsap na instagram basi na ujumbe unafika
Hahaha, mkuu unaweza pata vitu vichache sana kwa kutumia iyo. Tena visivo na umuhimu mkubwa
 
Hahaha, mkuu unaweza pata vitu vichache sana kwa kutumia iyo. Tena visivo na umuhimu mkubwa
dah broo upo deep kama sio deeper.
naomba nikuulize maswali kadhaa ili uwe jasusi(mkusnya taarifa na mtoaji kimataifa) unapaswa uwe unajua angalau imternational language ngapi mkuu?
 
Unajua nyinyi hamjui kuwa kila spy agency inakuwa ina-develop either a language that they only know and understand. Maandishi,alama,na namba zinazoweza kutafsiriwa kupata information kamili.

Pia,media kama hizi hutumika pale agent anapokuwa kwenye deep cover.Mfano,if you are close to the source it could be your wife,husband,friends or your boss. Lakni kama haupo deep cover its not necessary.
Nchi kama zetu na soviet zamani wao ndio wanapenda kuweka watu wao pahala huku waki anticipate jambo kabla halijatokea.
Mfano, mtu fulani anitwa Y yeye ni mtu prominent or anapossibilities za kuwa useful for some important work. So the agency will put an agent close without someone to notice "supposedly just a coincidence"
 
dah broo upo deep kama sio deeper.
naomba nikuulize maswali kadhaa ili uwe jasusi(mkusnya taarifa na mtoaji kimataifa) unapaswa uwe unajua angalau imternational language ngapi mkuu?
Itategemea uyo spy anafanya kazi wapi. Mfano, kama ni kenya basi utahitaji kua na ufahamu wa English. Kama ni India, basi utahitaji uwe na ufahamu wa english na kihindi kiasi flani.

Lugha ndo nyenzo ya mawasiliano, sasa kama haujui lugha utawezaje kufanya kazi yake kwenye nchi ya ughaibuni?
 
Wewe ndiyo hauelewi kua Uzi huu umelenga kuzungumzia njia za kusafirisha taarifa na sio suala ya lugha za maneno au ishara.

Iyo inajilikana, kama CIA walivyo m-recruit dakatari aliyekua karibu na Osama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…