Establishment of Private Intelligence Agency in Tanzania

Unajua kuna wakati huwa natamani kuwa na aina fulani ya watu karibu yangu..some people i can discuss security matters with cuz i love learning how these security departments works..i think you guys are smart..!

Your welcomed comrade

Huku kuna ma guru wa usalama. Ma securty analysts,military tacticians,master spies you name it.Uliza utajibiwa
 

hapa kwetu kuna drizzle detective agency, kuna pia Tanzania private investgation agency...we unazungumzia private intelligence agency duh...kweli uko level za mbali mi namalizia masoma yangu in security and disaster management badae mwaka huu tuwasiliane tupeane maujuzi
 
Kama unafanya jambo lenye manufaa kwa wengine then uve moral obligation kushare na watu wengine...sio lazima kuwepo taratibu ila unaweza kuandaa memorandum, profile, ambazo zitaeleza pasi kuacha shaka majukumu na malengo ya kuanzisha organisation/ Agency hii na kama itaonekana inafaa na haitaleta mkanganyiko wa utendaji na agency nyingine za kiserikali zinazofanya kazi kama hizo basi upewe usajili na ama kutambulika kisheria!
 
Ni wazo zuri, mi nitaomba kuongoza kitengo cha Applied Behavioral Analysis (ABA) kwenye mambo criminology.
 
kwa sasa chombo pekee cha upelelezi ni Jeshi la polisi (see sect 5) police act.ikitokea chombo private itadeal na taasisi binafsi kama fraud investigation within the company hapo bosi atakuambia uchunguze wafanyakazi ila mambo jamhuri yatabaki kuwa ya chini ya police and intelligence,huwezi kwenda kupeleleza tukio la mauaji,ujambazi nk kama wewe sio mtu wa taskforce.
 

unasoma nchi gani mkuu? some of the courses mlizofundishwa ni zipi?
 

Mkuu unanikumbusha black water . a private army.
 
Unajua kuna wakati huwa natamani kuwa na aina fulani ya watu karibu yangu..some people i can discuss security matters with cuz i love learning how these security departments works..i think you guys are smart..!

other issue will be an office secret in order to know it join the group you must be a militia
 

mkuu kuna siku niliweka mada hapa JF
https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/562361-kikundi-au-taasisi-binafsi-ya-masuala-ya-intelijensia.html

nikajibiwa tayari hapa Tanzania kuna taasisi ya masuala ya intelijensia. Japo sijapata kuwafuatilia sana.
ILA NAMI NITAFUNGUA YANGU HIVI KARIBUNI.

Wenzetu waliokwishaanza ni hawa
http://www.tzprivateinvestigationagency.com
 

they deal with civil issues kwenye taasisi binafsi na kama raia akigundua kuwa taarifa zake zinadukuliwa na watu ambao sio police na watu wa security ni kosa(refer uhuru wa mawasiliano kwenye katiba ibara ya 16(2).

hata mimi naona ni muhimu kwenye civil matters pia kuwasaidia polisi na mahakama kama "raiawema"
 

mkuu, I wish to be an Intelligence Officer, so if you achieve in establishing your own Agency.. Count me in
 

Ni wazo zuri sana, ila kwa sheria zetu ni vigumu kuwa na Taasisi kama hayo.

Bovya hiyo link ili upitie: http://polis.parliament.go.tz/PAMS/docs/15-1996.pdf
(The Tanzania Intelligence and Security Service Act, 1996)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…