Asalaam walekhum wanajamvi!dah leo nimeamua kutoa dukuduku langu humu ili mnisaidie,sasa nimetokea kumpenda mbunge wa viti maalum cdm ester matiko,uyu binti jinsi anavoongea,alivo sura yake na umri wake umenifanya nichanganyikiwe vp member mnaweza kuni Pm namba yake walau mwanenu nikae au kuna mtu anataarifa zake au alisoma nae?
Weka picha yake nimthaminshe kwanza ndo niku pm number yake! Si kuja na ndoto za alfajri hapa
Weka picha yake nimthaminshe kwanza ndo niku pm number yake! Si kuja na ndoto za alfajri hapa
mke wa mtu huyo, mi kanifundisha na kipindi hicho alikuwa mjamzito{2009/2010}. Ila sikushangai maana ilikuwa balaa akiingia class, ule mguu wake ndo balaa zaidi.
Asalaam walekhum wanajamvi!dah leo nimeamua kutoa dukuduku langu humu ili mnisaidie,sasa nimetokea kumpenda mbunge wa viti maalum cdm ester matiko,uyu binti jinsi anavoongea,alivo sura yake na umri wake umenifanya nichanganyikiwe vp member mnaweza kuni Pm namba yake walau mwanenu nikae au kuna mtu anataarifa zake au alisoma nae?
yule dada ni noumer,kama sio mkurya vile!
Mke wa mtu huyo. Utaliwa kiboga kushobokea vya watu
Mtata Mwita amerudi. Mura Mang'anaaMke wa mtu huyo. Utaliwa kiboga kushobokea vya watu
Usidharau dada zetu ni warembo sana wewe nani alikuambia wakurya sio? ha ha ha tuko juu mnasema wakorofi lakini mnapenda dada zetu teh sheeeemejiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii