Kiukweli nimeumia sana kusikia huyu dada kaolewa,unajua mpaka nimeandika vile ni kwasababu nimekuwa rafiki yake mda mrefu kwenye fb so nikawa nashindwa kumuuliza kuhusu swala la mahusiano na nikawa naogopa hata kumuomba contact zake nikiofia anaweza kunidelete ila na appreciate jf member kwa kuwa wawazi thankx kwa michango yenu nimeielewa na nafikiria ester will be my sister tangu leo asanteni sana.
Kakufundisha wapi?mke wa mtu huyo, mi kanifundisha na kipindi hicho alikuwa mjamzito{2009/2010}. Ila sikushangai maana ilikuwa balaa akiingia class, ule mguu wake ndo balaa zaidi.
Pole mkuu...Kiukweli nimeumia sana kusikia huyu dada kaolewa,unajua mpaka nimeandika vile ni kwasababu nimekuwa rafiki yake mda mrefu kwenye fb so nikawa nashindwa kumuuliza kuhusu swala la mahusiano na nikawa naogopa hata kumuomba contact zake nikiofia anaweza kunidelete ila na appreciate jf member kwa kuwa wawazi thankx kwa michango yenu nimeielewa na nafikiria ester will be my sister tangu leo asanteni sana.
Una ng'ombe 40 wewe? Huko kwa akina na Matiko hakuna vya mteremko kijana. Jaribu kwingine.Asalaam walekhum wanajamvi!dah leo nimeamua kutoa dukuduku langu humu ili mnisaidie,sasa nimetokea kumpenda mbunge wa viti maalum cdm ester matiko,uyu binti jinsi anavoongea,alivo sura yake na umri wake umenifanya nichanganyikiwe vp member mnaweza kuni Pm namba yake walau mwanenu nikae au kuna mtu anataarifa zake au alisoma nae?
Una ng'ombe 40 wewe? Huko kwa akina na Matiko hakuna vya mteremko kijana. Jaribu kwingine.
Huyo anayecheza naye ni FISI~CHAWENE au?
Pole mkuu...
Pole sana mkuu
Weka picha yake nimthaminshe kwanza ndo niku pm number yake! Si kuja na ndoto za alfajri hapa
kama humjui-kwani unadai picha, namba yake utaipataje?
mke wa mtu huyo, mi kanifundisha na kipindi hicho alikuwa mjamzito{2009/2010}. Ila sikushangai maana ilikuwa balaa akiingia class, ule mguu wake ndo balaa zaidi.
Hapo ndio unazidi kumchanganya kabisa mwenzio.
OLDONYO mbona kuna kidume kishajiweka pale?au unataka upambane nae?
yule dada ni noumer,kama sio mkurya vile!
Laama zingine bwana, huyo mke wa mtu wewe unashoboka wa nini? Imagine mwanaume kama wewe anapiga hesabu za kupata mkeo/GF wako utajisikiaje? Sometimes hekima itumike usiwe mbinafsi wa kufikiri.
Nawacilisha.
CD
Inawezekana jamaa hakujua kama ni mke wa mtu...
Inabidi arudi hapa kueleza kuwa amebadili nia, halafu kama anataka kuendelea na mpango wake aendelee kimya kimya manake cku hz wake za watu wanaliwaliwa tu kwa kutojiheshimu kwao. Ila yule dada anajiheshimu sana tofauti na lile li Bulaya linalohangaika hadi saa 8 usiku