Charles Mandela
JF-Expert Member
- Dec 9, 2011
- 2,752
- 2,282
Mimi mwenyewe niliacha jeshi kwa sababu kama hizo eti siku ya interview unavua nguo zote unainamishwa unakaguliwa kwenye makalio kama nywele za makalio zipo.
Tanzania bado baadhi ya taasisi zina mifumo ya ajabu sana.
Kuipenda CCM ni uwendawazimu!
Maovu chini ya CCM ni mengi mno!
Shibe Mkuu...Mbunge anaongelea kabisa Segerea,Waziri anasema Taja !!Ina maana huyu Waziri alikuwa usingizini wakati huyo Mbunge anataja Gereza la Segerea?
Kumbe huwa inakuwa hivi! Ndio maana hawa jamaa hata UJASIRI wa kufanya mapinduzi huwa hawana.Mimi mwenyewe niliacha jeshi kwa sababu kama hizo eti siku ya interview unavua nguo zote unainamishwa unakaguliwa kwenye makalio kama nywele za makalio zipo.
Tanzania bado baadhi ya taasisi zina mifumo ya ajabu sana.
Simbachawene anayumba sana kwenye hicho cheoIna maana huyu Waziri alikuwa usingizini wakati huyo Mbunge anataja Gereza la Segerea?
Naona unatumia wanzuki ndiyo maana hata kilicho andikwa hukukiona.Prison is not home! Ndio maana kunatisha ili watu wasitende makosa!!!!ndio maana ni laaana ya vizazi na vizazi kwa mtu anayemsingizia mtu kosa ili ampeleke pasipo hatia.
Kuna wahalifu hasa wanawake wanaweza kuingia na vitu vya hatari kwa usalama wa wanaowalinda au watuhumiwa wengine.
Yeye kama mbunge ambaye ni muhimili wa dola angetoa njia sahihi ya kupekua na siyo kulalamika.
Mke mwenzakoKamanda huyo wa Ufipa!
Naona unatumia wanzuki ndiyo maana hata kilicho andikwa hukukiona.
Matiko kashauri zinunuliwe mashine ziwe mbadala wa maaskari kuwapekua kwa kuwavua nguo.
Kwahiyo hutaki au?Unajua madhara y mionzi ya kuscan mwili katika kubadili mfumo na mpangilio na lugha ya Gene? nazungumzia codon na ant codon na mpangilio au unabwabwaja na bila tafiti ninyi mliokimbia kusoma.sayansi sasa mnabwabwaja kwenye mitandao tuu?
Hujui lolote kuhusu effect ya radiation kwenye mwili wa binadamu mtakuja kuwa na vizazi kichwa kipo matakoni na miguu ipo kichwaniKwahiyo hutaki au?
Ameshauri zifungwe mashine maalumu za ukaguzi....Prison is not home! Ndio maana kunatisha ili watu wasitende makosa!!!!ndio maana ni laaana ya vizazi na vizazi kwa mtu anayemsingizia mtu kosa ili ampeleke pasipo hatia.
Kuna wahalifu hasa wanawake wanaweza kuingia na vitu vya hatari kwa usalama wa wanaowalinda au watuhumiwa wengine.
Yeye kama mbunge ambaye ni muhimili wa dola angetoa njia sahihi ya kupekua na siyo kulalamika.
Hazitakiwi kasome effects ya radiation kwenye genesAmeshauri zifungwe mashine maalumu za ukaguzi....
Na kwa Nini wasifunge mashine za ukaguzi kama za pale uwanja wa ndege... Ukiwa na kakitu ka dogo tu zinapiga kelele...
Ina maana huyu Waziri alikuwa usingizini wakati huyo Mbunge anataja Gereza la Segerea?
Kwa vile hayajakupata unaona ni sawa kwa wenzioPrison is not home! Ndio maana kunatisha ili watu wasitende makosa!!!!ndio maana ni laaana ya vizazi na vizazi kwa mtu anayemsingizia mtu kosa ili ampeleke pasipo hatia.
Kuna wahalifu hasa wanawake wanaweza kuingia na vitu vya hatari kwa usalama wa wanaowalinda au watuhumiwa wengine.
Yeye kama mbunge ambaye ni muhimili wa dola angetoa njia sahihi ya kupekua na siyo kulalamika.
Kwa.vile hujawahi kuzaa kilemaKwa vile hayajakuoata
Sasa pale airport zinafanya nini? Kama athari yake ndo hiyo?Hazitakiwi kasome effects ya radiation kwenye genes
Very oppressive and inhuman in it's very nature.... haifai kabisa hiyoHapana hiyo mbn ni kawaida na ipo magereza yote Tanzania pindi mnapoingia tu mnakaba foleni mkiwa watupu aisee kama kuna kipengere kigumu jela ni hiko maana mtarushwa kichura kama dk 30 mpaka wakuone unatambaa ndo utaambiwa chukua nguo zako hapo hata kutembea shughuli wanadai eti kama ulikua na wazo la kutoloka basi hapo magoti hata kupiga hatua huwezi unakua hoi kama ulikua na tumbo la kuharaa unayamwaga mtu mzima kiufupi ni uzalilishaji