Et mwanawane ni tukioa gan hutalisahau mwaka huu

Et mwanawane ni tukioa gan hutalisahau mwaka huu

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
19,976
Reaction score
32,195
Aman iwe nannyi wapendwa

Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu

Mwaka ndo umesepa mazee hivyo hatuna bud kuuaga na kukaribisha mwaka mwingine mpya

Kama ilivyo kwa miaka mingine matukio hutokea na kusepa hivyo hivyo hata huu mwaka kuna matukio mengi sana yametokea na kusepa

Lakin kati ya hayo matukio kuna matukioa yalitisha sana na kuwaacha watu hoi

Matukio hayo yalitokea kwa viongoz au watu wengine tu wa kwenye jamii inayotuzunguka

Sasa hebu tiririka hapa ni tukio gan lilikuacha mdomo waz mwaka huu

Mimi tukio lililoniacha mdomo waz ni baada ya dk shika kupata meneja mrembo ile mbaya na dk shika kudai kuwa et atatoa bilion mbili kusomesha wanafunz wa chuo cha udaktar huko kanda ya ziwa shinyanga kahama, nilibak mdomo waz sana aisee

Tiririka tukio lililokuacha mdomo waz

LONDON BABY
 
Kilichonishangaza mwaka huu ni huyu Gentries kuachiwa kifungoni maana nilitegemea angepewa msamaha wa rais 2020
 
wewe kupata smartphone then kuijua JF na kupost upupu humu kila kukicha.

alaaniwe aliyekufanya uijue JF
 
[emoji1] akaunti yangu benki inasoma 100 milioni, mateller wakike wananisumbua sana sijui kwanini eti.....
 
Back
Top Bottom