Ethiopia ni nchi yenye barabara zenye viwango ambavyo Tanzania huwezi kuviona

Tabutupu

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2010
Posts
13,206
Reaction score
18,549
Ethiopia ni moja ya nchi bora africa kwa barabara zenye viwango ambazo Tanzania huwezi zikuta.. Tamroad jifunzeni.

Najiuliza wakati mnajenga barabara mfano ya kimara to kibaha kwanini hamkuwaza wapi mtaweka taa. Kwanini msinge acha nafasi katikati nfio taa zikakaa. Nasikia eti tanroad wameshindwa kuweka taa kutika kimara hafi kibaha kwa sababu hawaja pata taa zenye mwanga wakutosha kutoa mwanga barabara yote.

UJenzi wa barabara unahitaji big brain na kuondoa siasa kabisa.

 
Inapatikana wapi kwa hapa Uyole Mbeya?
 
Tanzania barabara zetu ni za kiwango duni sana ukilinganisha na nchi nyingine tunazofanana nazo
 
Mbona kila siku wananchi wake kuikimbia nchi yao??
 
Cha msingi ni kula, kunywa na kulala hayo mengine ni ziada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…