Ethiopia hamna viwonder vya Tz.mbona hata Tanzanian firms zipo Ethiopia! Au hiyo $5 mln inakupumbaza?
Wivu na Hasira buda.Wala hainichoshi, ikiwa tuna chakula cha kutosha, hatuna madeni ya yaliyotufika kooni na uchumi wetu unakuwa. Kwanini hizo picha za kuunga unga ziniumize roho.
Tz wameshindwa na Hata Zimbabwe?? Hahahaha when you think you've seen wonders, Tanzania simply never fails to surprise.pole sana tazama tena
Maybe in the year of the rat, 2089!I wish the heading read this way;
Tanzania wants Dar is Slum to be Africa's Dubai.
By that time we Kenyans will have colonized space and our southern neighbors be our lab rats.Maybe in the year of the rat, 2089!
Which space is is that the one you've launched a MATCHBOX SATELLITE aka TOY SATELLITE.By that time we Kenyans will have colonized space and our southern neighbors be our lab rats.
Tumia Kiswahili niweze kuelewa unakurupuka nini tafadhali.Which space is is that the want you've launched a MATCHBOX SATELLITE aka TOY SATELLITE.
Elimu yenu haiwafundishi kufikiria nje ya box, once you stumble with a little twist you loose focus and cease to think. Anyway ndio Kenya hiyo.Tumia Kiswahili niweze kuelewa unakurupuka nini tafadhali.
Hao UN wanachuki tu zilizowajaa dhidi ya afrika. Ndoomana hata ramani yenyewe ya africa wameikosea kuilebo. Libya imekuwa algeria na kinyume chakeTunajihisi wapweke sana kwenye hii picha, hebu ona kainchi ketu kalivyozungukwa na nyekundu tupu. Mnatia aibu Afrika jameni, linaonekana bara la mazombi tu, mainchi yaliyobarikiwa na kila aina ya raslimali lakini yamejawa na mivivu kote kote.
Magu kanunua Boeing 777 nne? Wapi em nionyeshe source. Au pangaboy ndo zimekuwa 777s?wanampango wa kununua Boeing777max. 20 bongo magu amenunua nne Watu wameongea hadi kero
Why so much salt mate? Wewe chillux kwa LDC, mtatoka huko soon, with the good job you guys are doing. However, ethiopia's gdp iko almost kama Kenya's, with their population being almost 2.5 times the size of ours mate. So we are doing greatEthiopia ni LDC na wanapiku kenya kwa horticulture trade with EU. Kenya became middle income after rebasing economic data( cooking data) high Taxes to EU on trade has collapsed the flower industry, many flower farms have closed shop. So what is there to be proud about? Ignorant fellow
Kubali upungufu wenu.Hao UN wanachuki tu zilizowajaa dhidi ya afrika. Ndoomana hata ramani yenyewe ya africa wameikosea kuilebo. Libya imekuwa algeria na kinyume chake
Tz hakuna mapungufu yeyote kwa sasaKubali upungufu wenu.
Pipi zinatoka Kenya hiyo ni pungufu pia...Hahahaha.Tz hakuna mapungufu yeyote kwa sasa
In your wet dreamsPipi zinatoka Kenya hiyo ni pungufu pia...Hahahaha.
Tz ni dumping ground ya SADC.In your wet dreams
wanampango wa kununua Boeing777max. 20 bongo magu amenunua nne Watu wameongea hadi kero
wHAT I SEE IS Kenya + Zimbabwe + Swaziland gdp IS LESS THAN Angola's gdp.πππππππ
kwa nini zinakamatwa?Na tena wanafurahia zinapokamatwa ili kusifanyike biashara wala wasiajiriwe watu
Ungemuuliza aliezikamatisha au aliezikamatakwa nini zinakamatwa?