gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Kwenye post yangu kuna suala la 'wakati' ikiwa utasoma kwa umakiniHio ni kisiasa tu ila kijeshi sidhani kama hawawatambui......yale maonyeshe ya kijeshi ya mwaka jana ya miaka 60 ya Jwtz kulikua na vyuma vya kutosha vya Israel
Wakati ndo huo tokea enzi hizo hadi sasa Israel kijeshi hakwepeki......Kwenye post yangu kuna suala la 'wakati' ikiwa utasoma kwa umakini
palee kigaliNa sisi tuingie mkatana na DRC basi tulenge paleeeee
Magaidi hayawezi kuisha as long as kuna ile dini inayojiita ya aman huku wameficha majambiaAl shabaab bado wapo ?
ukitaka kuipiga Rwanda unapiga Kigali na Gisenyi tu kila kitu wanaanza upya kama walipokua mwaka 1800 ujima na inachukua dk 35 tu kuteketeza kila kitu flatland sehemu zote hizo tena bila kizuizi nashangaa kwann wanapenda kujionesha sana shauri yao.palee kigali
Tuwatume hata suma jktukitaka kuipiga Rwanda unapiga Kigali na Gisenyi tu kila kitu wanaanza upya kama walipokua mwaka 1800 ujima na inachukua dk 35 tu kuteketeza kila kitu flatland sehemu zote hizo tena bila kizuizi nashangaa kwann wanapenda kujionesha sana shauri yao.
Kmkm Zanzibar wanawatosha tuTuwatume hata suma jkt
Al shabab mwisho wao ushafika maana wanapigwa mande kila kona huku serikali ya somalia, upande mwingine marekani anawashambulia kwa drone na sasa Ethiopia nae kaingia sijui watatokea wapi?Jeshi la anga la Ethiopia limefanya mashambulizi ya anga dhidi ya wanamgambo wa al-Shabab katika Mkoa wa Shabelle ya Kati nchini Somalia, Shirika la Fana Broadcasting Corporate liliripoti hapo jana (Ijumaa).
Mashambulizi hayo ya anga yametokea baada ya kutiwa saini kwa mkataba wa usalama kati ya Somalia na Ethiopia mwezi uliopita.
"Hakuna mashambulizi ya anga yanayoweza kufanyika nchini Somalia bila ya serikali kujua," Waziri wa Ulinzi wa Somalia Abdulkadir Mohamed Nur alinukuliwa akisema, akibainisha kuwa jeshi la ulinzi la Somalia pia lilihusika katika operesheni hiyo.
Waziri aliangazia kuongezeka kwa ushirikiano wa usalama kati ya Somalia na Ethiopia, akimaanisha Mkataba wa Ankara kama mfumo wa juhudi zao za pamoja dhidi ya al-Shabab.
Mashambulizi hayo yaliashiria operesheni ya kwanza ya anga ya Ethiopia katika kanda hiyo katika miaka ya hivi karibuni, kufuatia Somalia kuidhinisha hivi karibuni kwa vikosi vya Ethiopia kujiunga na Misheni ya Kusaidia na Kuleta Utulivu ya Umoja wa Afrika (AU) nchini Somalia.
Eneo la Shabelle ya Kati kwa muda mrefu limekuwa kitovu cha mapigano kati ya al-Shabab na vikosi vya serikali vinavyoungwa mkono na wanajeshi wa
Viongozi wa kijeshi kutoka nchi hizo mbili walikutana katika mji mkuu wa Somalia wa Mogadishu mwezi Februari, na kukubaliana kuimarisha operesheni za pamoja na kuunga mkono vikosi vya usalama vya Somalia katika kuchukua udhibiti kamili wa ardhi ya nchi hiyo.
Hao Ethiopia walishamaliza vita vyao kwenye lile jimbo lao?Jeshi la anga la Ethiopia limefanya mashambulizi ya anga dhidi ya wanamgambo wa al-Shabab katika Mkoa wa Shabelle ya Kati nchini Somalia, Shirika la Fana Broadcasting Corporate liliripoti hapo jana (Ijumaa).
Mashambulizi hayo ya anga yametokea baada ya kutiwa saini kwa mkataba wa usalama kati ya Somalia na Ethiopia mwezi uliopita.
"Hakuna mashambulizi ya anga yanayoweza kufanyika nchini Somalia bila ya serikali kujua," Waziri wa Ulinzi wa Somalia Abdulkadir Mohamed Nur alinukuliwa akisema, akibainisha kuwa jeshi la ulinzi la Somalia pia lilihusika katika operesheni hiyo.
Waziri aliangazia kuongezeka kwa ushirikiano wa usalama kati ya Somalia na Ethiopia, akimaanisha Mkataba wa Ankara kama mfumo wa juhudi zao za pamoja dhidi ya al-Shabab.
Mashambulizi hayo yaliashiria operesheni ya kwanza ya anga ya Ethiopia katika kanda hiyo katika miaka ya hivi karibuni, kufuatia Somalia kuidhinisha hivi karibuni kwa vikosi vya Ethiopia kujiunga na Misheni ya Kusaidia na Kuleta Utulivu ya Umoja wa Afrika (AU) nchini Somalia.
Eneo la Shabelle ya Kati kwa muda mrefu limekuwa kitovu cha mapigano kati ya al-Shabab na vikosi vya serikali vinavyoungwa mkono na wanajeshi wa AU.
Viongozi wa kijeshi kutoka nchi hizo mbili walikutana katika mji mkuu wa Somalia wa Mogadishu mwezi Februari, na kukubaliana kuimarisha operesheni za pamoja na kuunga mkono vikosi vya usalama vya Somalia katika kuchukua udhibiti kamili wa ardhi ya nchi hiyo.
Hao Somalia miaka yote ni hekaheka tu