Ethiopian Airlines wanazidi kupanua wigo katika uwekezaji wa shirika lao la ndege

Naomba mniwekee picha za wale mabibi wa air tanzania. Ni kichekesho wakati mataani kuwa watoto wakali kuliko africa nzima na wana chura matata sana. Ila wamekomaa na wabibi.
 
Uko sahihi, ila kama hesabu zinalipa na watapata faida watafanya dili.
 
Acha kulinganisha Wamanga (waarabu) na mabasi yanayopaa (Ethiopian)
Mkuu kukimbiza haina maana wapo karibu karibu yaani kama ni magari yameondoka pamoja Mwanza muda mmoja kwenda Dar... waarabu wamefika Chalinze wanakaribia Dar lakini Ethiopian wapo Singida wakati mashirika mengine ya Africa ndio kwanza mengi yapo Shinyanga na mengine hata Shinyanga hayajafika. (kwa Africa wanajitutumua aisee)
 
Tuliwahi kuingia kwenye makubaliano flani na South Africa na nadhani ndio walitufikisha hapa maana vitu vingi vilikuwa vinatoka South (inahitaji kuwa makini sana kwenye hili jambo aisee)
 

Ukizingatia hawana mafuta wala gasi na ni nchi maskini, wamejitahidi sana.
 
madege kibao lakini hali ya uchumi wa nchi duni, waethiopia vijana wanakimbia nchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…