Ethiopian train derails

Ulishakaa darasani ukafundishwa kuhusu uchawi?.

"If you want to know how much a person is primitive, find out how much his/ her brain is occupied by witchcraft ideas".

Wewe jomba upo primitive sana, kama hadi Leo unafuatilia habari za kipumbavu kama hizo?. I don't have time even to mention a word " uchawi", only fool people do.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
You can't run away from your destiny you old witch. Salimia ndugu hapa chini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ni heri kuwa na bei chee lakini ni european kuliko kuwa na china class 1,can you immagine? nyie mnatumia chinese low class train wtf...
 
joto la jiwe anaumwa haki ya Mungu...bro wachana na albino..anza kula punda...

teargas....juzi juzi tu kuna mtanzania ka comment katika post yangu..ywadaisha ywataka aje kenya nimhost hana pa kwenda...ywaja hku kutafuta kazi yyeyote ile...eti yeye ako tayari na kazi yyte ile ...nikaomba maoni kutoka kw marafiki...asilimia kubwa wakaniambia niachana naye...ywaeza kuja akaniletea tabu..na kiukweli sijui dhamira yake...

mwenzao ywataka kuja kenya atafute maisha bila cheti wala nn mazee...tena ywatoka jiji kuu..hku wengine wakijisifu km vijana wao wanajikimu...
lkn ikanibidi nimuelekeza katika rafiki yangu flani mchaga...mwenzake si kamkubali..baada ya kuja ndio kamea na matatizo yake tele..eti asijali amngoje apate dili la maana ndio atajitoa...kisha jamaa anakiswahili..akiongea utamuonea huruma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…