Ethiopia's GDP overtakes Kenya's

Hehehe!! Subiri uone mijitu mirefu imejaa hapo TRA kwenye taasisi nyeti, ikibonyeza bonyeza na kuongea Kinyarwanda huku mambo yakinyooka. Ndio utajua hamna cha kuchomekea tu, ni issue nzima.

Ha ha ha ha
Mijitu mirefu, haitakuja kutokea wakija wanakuja kama wakenya waliopo. Ama unaona wanakuzibia chansi hao jamaa nini?
 
Ukute hiyo GDP 90% inamilikiwa na watu wachache.
 
mfano ni South Sudan...hizo takwimu ni za mafuta tu
wananchi hata mia hawana

Kenya wana GDP kubwa ila wenye uhakika wa milo mitatu kwa siku hawafiki nusu ya wananchi wote. Huwezi kulinganisha na Tanzania.
Tatizo kubwa la Tanzania kutokuwa na GDP kubwa in figures ni kwamba asilimia kubwa ya uchumi upo kwenye informal sector kuliko wenzetu hao.
 

Hizi takwimu uchwara sijui huwa mnazitoa wapi, halafu huwa mnang'eng'ania hii kauli kila siku. Nyie mnafaa elimu aisei.
Takwimu za watu wenye umaskini hizi hapa
Kenya - 43.4% (2012 est.)
Tanzania - 67.9% (2011 est.)
The World Factbook
 
Ha ha ha ha
Mijitu mirefu, haitakuja kutokea wakija wanakuja kama wakenya waliopo. Ama unaona wanakuzibia chansi hao jamaa nini?

Hamna anayeweza kunizibia chansi, nimekita mizizi..tete
 
Hizi takwimu uchwara sijui huwa mnazitoa wapi, halafu huwa mnang'eng'ania hii kauli kila siku. Nyie mnafaa elimu aisei.
Takwimu za watu wenye umaskini hizi hapa
Kenya - 43.4% (2012 est.)
Tanzania - 67.9% (2011 est.)
The World Factbook

Kenya njaa sasa hivi, mnaagiza mahindi toka Tanzania.

Go figure the Middle Income Guy.
 
Kenya njaa sasa hivi, mnaagiza mahindi toka Tanzania.

Go figure the Middle Income Guy.

Usibonyeze keyboard na kuandika, shirikisha ubongo walau kiduchu. Kwani mahindi mnatupea bure, nchi yetu kame, nusu ni jangwa hivyo inatulazimu kununua mazao kutoka nje. Hela tunazo, we are a service industry, watu wanaojituma kweli. Tungekua mivivu kama nyie ingekula kwetu.

Hivyo kesho nenda shambani ukalime kwa ajili yetu ili tuje tuyanunue hayo mahindi. Tataizo mlivyo majizi hela tunawapa halafu haziwafikii wakulima, wanaishia kuwa maskini. Mabroker mumejaa kibao.
 
Kama shilingi isipo anguka,Tanzania tutawapita woote ila kwa sasa BOT wabadili fedha
 

Nchi ambayo mnashindwa kujilisha halafu mnajiita middle income country?
 
Nchi ambayo mnashindwa kujilisha halafu mnajiita middle income country?

Kujilisha tunajilisha maana tunanunua chakula kutoka kwa walalahoi kama nyie, mlime tule sisi. Tatizo kama nilivyosema mnawanyanyasa wakulima, tukiwapa hela nyie mnaishia kula bata Dar halafu mnawalipa wakulima kwa kutumia salio au chenji.
 
GDP in millions? Uende ukasome kwanza jinga wewe!
 
They are almost bigger than ug and tz combined..a giant in the making and thats good for the region
Inwhich uganda's economy is almost a half of tanzania's.....what a huge different that deserves much of your attention

Giants on making....True giants on papers... Hivi GDP kubwa bila well being of people inasound !!!!!!......

Hahaaaaaaa sometimes some Kenyans mnakuwa so pathetic...huwezi kumkuta mtanzania anajitapa kuwa uchumi wake ni sawa na Uganda, Burundi na Rwanda combined...
Senseless

By the way huwa nakubali kuwa mpo ahead of us lakini not that much far compared to the true giants of Africa's economy
 
GDP in millions? Uende ukasome kwanza jinga wewe!

This is why i say geza is the silliest of them all

bongo-live come and explain to geza what they mean when they say GDP in millions cause u seem to understand simple math and if i try this thread could go 7-10 pages because geza is a bad loser


geza when they give you

64.688and say GDP IN MILLIONS U SIMPLY ADDED 6 ZEROS TO THAT NUMBER after the FACT/LAST digit this.... is what i usually say most people hapa have not been to a business class hata siku moja
= 64,688,000,000


geza kalale
 

Hehehe!! Even after so many years of these Tanzanians getting free tutorials from Kenyans, they hardly grow an inch. Just go through historical posts, they always repeat the same ignorance over and over again through so many years.....duh
 
I only stated a fact..kenyan and ethiopian economies are ALMOST( get me correctly here) the size of tz and ug economies combined.i hope your friend MOTOCHINI also gets this point
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…