Hehehe!! Subiri uone mijitu mirefu imejaa hapo TRA kwenye taasisi nyeti, ikibonyeza bonyeza na kuongea Kinyarwanda huku mambo yakinyooka. Ndio utajua hamna cha kuchomekea tu, ni issue nzima.
Ukute hiyo GDP 90% inamilikiwa na watu wachache.
Ulisomea ukabila sio hesabuThey are almost bigger than ug and tz combined..a giant in the making and thats good for the region
mfano ni South Sudan...hizo takwimu ni za mafuta tu
wananchi hata mia hawana
Kenya wana GDP kubwa ila wenye uhakika wa milo mitatu kwa siku hawafiki nusu ya wananchi wote. Huwezi kulinganisha na Tanzania.
Tatizo kubwa la Tanzania kutokuwa na GDP kubwa in figures ni kwamba asilimia kubwa ya uchumi upo kwenye informal sector kuliko wenzetu hao.
Ha ha ha ha
Mijitu mirefu, haitakuja kutokea wakija wanakuja kama wakenya waliopo. Ama unaona wanakuzibia chansi hao jamaa nini?
Hizi takwimu uchwara sijui huwa mnazitoa wapi, halafu huwa mnang'eng'ania hii kauli kila siku. Nyie mnafaa elimu aisei.
Takwimu za watu wenye umaskini hizi hapa
Kenya - 43.4% (2012 est.)
Tanzania - 67.9% (2011 est.)
The World Factbook
Kenya njaa sasa hivi, mnaagiza mahindi toka Tanzania.
Go figure the Middle Income Guy.
Usibonyeze keyboard na kuandika, shirikisha ubongo walau kiduchu. Kwani mahindi mnatupea bure, nchi yetu kame, nusu ni jangwa hivyo inatulazimu kununua mazao kutoka nje. Hela tunazo, we are a service industry, watu wanaojituma kweli. Tungekua mivivu kama nyie ingekula kwetu.
Hivyo kesho nenda shambani ukalime kwa ajili yetu ili tuje tuyanunue hayo mahindi. Tataizo mlivyo majizi hela tunawapa halafu haziwafikii wakulima, wanaishia kuwa maskini. Mabroker mumejaa kibao.
Nchi ambayo mnashindwa kujilisha halafu mnajiita middle income country?
GDP in millions? Uende ukasome kwanza jinga wewe!Country GDP 2016 in current US$ millions
70 Guatemala 68.142
71 Ethiopia 67.435
72 Kenya 64.688
73 Uzbekistan 61.649
74 Luxembourg 60.176
75 Costa Rica 56.908
76 Panama 55.755
77 Uruguay 53.145
78 Lebanon 52.797
79 Oman 51.679
80 Croatia 49.928
81 Bulgaria 49.364
82 Tanzania 45.899
83 Belarus 45.887
84 Tunisia 43.989
85 Slovenia 43.791
86 Macao SAR 43.623
87 Lithuania 43.024
88 Democratic Republic of the Congo 41.207
89 Jordan 39.795
90 Libya 39.315 0.053 48
91 Ghana 38.171
92 Serbia 37.381
93 Yemen 37.308
94 Turkmenistan 35.398
95 Azerbaijan 35.141
96 Côte d'Ivoire 34.668
97 Bolivia 33.983
98 Cameroon 30.296
99 Bahrain 30.079
100 Latvia 28.177
101 El Salvador 27.327
102 Paraguay 26.804
103 Uganda 24.995
104 Estonia 23.847
..................
138 Rwanda 8.490 0.011 9
Country 2015 GDP PPP Per Capita in International Dollars.
São Tomé and Principe 3,126
Cameroon 3,123
Kenya 3,083
Lesotho 2,616
Tanzania 2,590
Senegal 2,431
Mali 2,428
Chad 2,171
Benin 2,110
South Sudan 1,850
Uganda 1,825
Zimbabwe 1,794
Rwanda 1,759
Burkina Faso 1,659
Ethiopia 1,626
Sierra Leone 1,591
Gambia, The 1,585
Inwhich uganda's economy is almost a half of tanzania's.....what a huge different that deserves much of your attentionThey are almost bigger than ug and tz combined..a giant in the making and thats good for the region
GDP in millions? Uende ukasome kwanza jinga wewe!
This is why i say geza is the silliest of them all
bongo-live come and explain to geza what they mean when they say GDP in millions cause u seem to understand simple math and if i try this thread could go 7-10 pages because geza is a bad loser
geza when they give you
64.688and say GDP IN MILLIONS U SIMPLY ADDED 6 ZEROS TO THAT NUMBER after the lasr digit this is what i usually say most people hapa have not been to a business class hata siku moja
= 64,688,000,000
geza kalale
I only stated a fact..kenyan and ethiopian economies are ALMOST( get me correctly here) the size of tz and ug economies combined.i hope your friend MOTOCHINI also gets this pointInwhich uganda's economy is almost a half of tanzania's.....what a huge different that deserves much of your attention
Giants on making....True giants on papers... Hivi GDP kubwa bila well being of people inasound !!!!!!......
Hahaaaaaaa sometimes some Kenyans mnakuwa so pathetic...huwezi kumkuta mtanzania anajitapa kuwa uchumi wake ni sawa na Uganda, Burundi na Rwanda combined...
Senseless
By the way huwa nakubali kuwa mpo ahead of us lakini not that much far compared to the true giants of Africa's economy