Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ulimdhamini ikandikwa kakosa wadhamini?Nimemsikiliza ndugu yangu Ali mayai
NIMESHTUKA kusikia Ali aliondolewa
Kwa kukosa udhamini
Hizi chaguzi Zina vituko KWELI yule mdada amefanikiwa wadhamini na Ali akose uduamini INAWAAINGIA AKILINI
TTunapita tu
Td
Mkuu, ulienda mdhamini ukakataliwa au ume lobby apate wadhamini akakosa au umekalia makalio yako tuNimemsikiliza ndugu yangu Ali mayai
NIMESHTUKA kusikia Ali aliondolewa
Kwa kukosa udhamini
Hizi chaguzi Zina vituko KWELI yule mdada amefanikiwa wadhamini na Ali akose uduamini INAWAAINGIA AKILINI
TTunapita tu
Td
Nimemsikiliza ndugu yangu Ali mayai
NIMESHTUKA kusikia Ali aliondolewa
Kwa kukosa udhamini
Hizi chaguzi Zina vituko KWELI yule mdada amefanikiwa wadhamini na Ali akose uduamini INAWAAINGIA AKILINI
TTunapita tu
Td
Kifupi Dada alijiandaa mapema wengine wamekurupuka tu. Jamaa yetu humu kwenye uchaguzi kawe huko wajumbe 200kapata kura 1tuKaka yule dada ana profile kubwa sana na yuko Kwa mpira miaka mingi japo kimya kimya
Sijaelewa unashangaa lipi kati ya haya; Mayay kukosa wadhamini au Mayay kuondolewa kwenye kinyang'anyiro, ila nitakujibu in advanceNimemsikiliza ndugu yangu Ali mayai. NIMESHTUKA kusikia Ali aliondolewa Kwa kukosa udhamini. Hizi chaguzi Zina vituko KWELI yule mdada amefanikiwa wadhamini na Ali akose uduamini INAWAAINGIA AKILINI
Unashangaa uchaguzi wa TFF, hiyo ni taasisi ndogo tu. Mbona NEC wanafanyaga vimbwanga kuliko hivyo? Hukumbuki alichofanya DED wa Korogwe dhidi ya mgombea wa upinzani kwenye uchauzi mdogo? Hukumbuki alichofanya DED wa Kinondoni Kagulumjuli? DED wa Mlimba unamkumbuka?Nimemsikiliza ndugu yangu Ali mayai
NIMESHTUKA kusikia Ali aliondolewa
Kwa kukosa udhamini
Hizi chaguzi Zina vituko KWELI yule mdada amefanikiwa wadhamini na Ali akose uduamini INAWAAINGIA AKILINI
TTunapita tu
Td
ungetuelimisha siyo unajibu kwa jazba nyingiWewe ulimdhamini ikandikwa kakosa wadhamini?
Umewahi kusikia mtuhumiwa mahakamni kakosa wadhamini, inakuwaga uongo?
Unajua vigezo vya kumdhamini mgombea urais TFF ama una hara hara tu hapa kama bata?
Unajua wajumbe wake wanatakiwa watoke pande zote za Muungano yaani Tanganyika na Zanzibar?
Unajua huyo mdhamini anapaswa awe na elimu gani na kiasi gani cha fedha kwenye akaunti? na awe anafanua shughuli gani halali ya kumuingizia kipato?
Note: Ingekuwa nyepesi kama unavyodhani basi angeokota wanywa alkasusu pale Karume wamdhamini.
Unajua wajumbe wake wanatakiwa watoke pande zote za Muungano yaani Tanganyika na Zanzibar?
Watu wa football mnamatusi sana,ndo Mana mimi nimejikita kushabikia mbio za magari.Mkuu, ulienda mdhamini ukakataliwa au ume lobby apate wadhamini akakosa au umekalia makalio yako tu
Acha kufikiri kwa kutumia "sehemu za kukalia" , umesikia amekataliwa ama amekosa wadhamini?Ikiwa wajumbe wanatakiwa watoke pande zote za Muungano, kwanini mgombea kutoka pande moja ya muungano hatakiwi?
Vipi ulimsaidia kutafuta wadhamini?Nimemsikiliza ndugu yangu Ali mayai nimestuka kusikia Ali aliondolewa kwa kukosa udhamini.
Hizi chaguzi zina vituko kweli yule mdada amefanikiwa wadhamini na Ali akose udhamini inawaingia akilini?
Tunapita tu