Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Jun 19, 2021 #21 Ni michezo michafu inayofanyika...
T14 Armata JF-Expert Member Joined Mar 7, 2017 Posts 12,362 Reaction score 41,886 Jun 19, 2021 #22 mwakiri said: Kifupi Dada alijiandaa mapema wengine wamekurupuka tu. Jamaa yetu humu kwenye uchaguzi kawe huko wajumbe 200kapata kura 1tu Click to expand... Umetoa mfano mzuri. Watu wanaamini wakishajulikana basi inatosha, na wafuasi wao wanaamini kwa vile mtu wao anajulikana basi inatosha. Hivi vitu ni kujipanga na kuwa na mbinu sio kutia huruma na kusubiri lawama
mwakiri said: Kifupi Dada alijiandaa mapema wengine wamekurupuka tu. Jamaa yetu humu kwenye uchaguzi kawe huko wajumbe 200kapata kura 1tu Click to expand... Umetoa mfano mzuri. Watu wanaamini wakishajulikana basi inatosha, na wafuasi wao wanaamini kwa vile mtu wao anajulikana basi inatosha. Hivi vitu ni kujipanga na kuwa na mbinu sio kutia huruma na kusubiri lawama
D dos.2020 JF-Expert Member Joined Feb 17, 2009 Posts 11,880 Reaction score 10,372 Jun 19, 2021 #23 jaji mfawidhi said: Acha kufikiri kwa kutumia "sehemu za kukalia" , umesikia amekataliwa ama amekosa wadhamini? Yani hata kama hakidhi vigezo unataka tu achukuliwe kwasababu anatoka upande mmoja wa muungano? #AchaUpumbavu Click to expand... Inaoneaknwa hukuwa ukipitia nyuzi humu jamvini ambazo watu walikua wakimwaga povu kuwa hawataki mgombea kutoka Zanzibar
jaji mfawidhi said: Acha kufikiri kwa kutumia "sehemu za kukalia" , umesikia amekataliwa ama amekosa wadhamini? Yani hata kama hakidhi vigezo unataka tu achukuliwe kwasababu anatoka upande mmoja wa muungano? #AchaUpumbavu Click to expand... Inaoneaknwa hukuwa ukipitia nyuzi humu jamvini ambazo watu walikua wakimwaga povu kuwa hawataki mgombea kutoka Zanzibar
OKW BOBAN SUNZU Platinum Member Joined Aug 24, 2011 Posts 53,868 Reaction score 121,001 Jun 19, 2021 #24 Bongo fitna