Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
napita kwa kutafakariNdio maana anafanya atakalo, hamna wa kumziba mdomo. Hata kaka yake hana la kumfanya hata akikosea vipi.
Kwenye maagano yake hayo ya ki Pepo ndio kizazi chake lilipotolewa kafara, kamwe hawezi kubebesha mimba
Babu yangu Bujibuji umeyajuaje haya....?Ndio maana anafanya atakalo, hamna wa kumziba mdomo. Hata kaka yake hana la kumfanya hata akikosea vipi.
Kwenye maagano yake hayo ya ki Pepo ndio kizazi chake lilipotolewa kafara, kamwe hawezi kubebesha mimba
Mmmmh.Ndio maana anafanya atakalo, hamna wa kumziba mdomo. Hata kaka yake hana la kumfanya hata akikosea vipi.
Kwenye maagano yake hayo ya ki Pepo ndio kizazi chake lilipotolewa kafara, kamwe hawezi kubebesha mimba
baba yake nani wakati hazai? Ila ndio hivyo, mrembo anapeta huru mtaanikumbe """.... aiseee"" dad is coming ana visa ""
mkuu hpo kwenye DadY anza na sugar....mjini hapa"" hata nandy na bill wanaitana mtu.na Dada ykebaba yake nani wakati hazai? Ila ndio hivyo, mrembo anapeta huru mtaani
tunaelekea kwenye lugha za alama. Lugha ya viziwiTulianza na fasihi sasa HV vitendawili. Safi sana kukuza lugha
Dreaming About Billionsaisee DAB
AiseeeeDreaming About Billions
Soon tutasikia kaanzisha kanisa lake Na yeye ndio Askofu MkuuAiseeee