Dr wa Kaliua
JF-Expert Member
- Sep 20, 2020
- 1,634
- 3,833
Kuna kibidada Leo nimekiacha asubuhi kimeniambia tumekuwa kwenye mahusiano muda sasa.
So kinataka nikioe so niende kwao na 1.5m kama mahali bado gharama za harusi..
Nimekiambia kitafute mwanaume wa kuoa kiachana na mimi!
Ntachelewa sana kuoa 😀
So kinataka nikioe so niende kwao na 1.5m kama mahali bado gharama za harusi..
Nimekiambia kitafute mwanaume wa kuoa kiachana na mimi!
Ntachelewa sana kuoa 😀