teh teh teh teh teh kweli wewe hata mkeo na wanao wana kazi nzito hapo nyumbani. Kama kosoa yenyewe ndio hii una kazi nzito mjombaSiamini kwamba kwa mtu "anayeonekana kuwa makini" kama wewe ungefikiri kwamba mtu mwingine makini angewaza kama hapo palikokolezwa!
Acha kujipendekeza! Acha kudandia gari kwa mbele! Mada iko kwenye mfumo wa swali tena la kichokozi. Unajua maana ya kuanza sentensi kwa neno ..ETI...? Pia unafahamu maana ya "......."? Kama unajua labda umesahau, na kama hujui useme pia uelimishwe!Sidhani hat kama mtoa mada anaijua Arusha vizuri na pilika pilika za watu wa pale. Kwahiyo hata swali ulilomuuliza atapata ugumu sana kulijibu na akilijibu nina uhakika utacheka tu
Ya mke na watoto wangu nyumbani hayakuhusu. Jadili issues na si watu!teh teh teh teh teh kweli wewe hata mkeo na wanao wana kazi nzito hapo nyumbani. Kama kosoa yenyewe ndio hii una kazi nzito mjomba
Ya mke na watoto wangu nyumbani hayakuhusu. Jadili issues na si watu!
Yameisha Mkuu tusije chukiana bure wakati maisha yenyewe hayana urefu sana mtu unaweza ishia hata hapo kwenye keyboard despite of the situation you are. Nway, lengo langu si kulumbana ila naamini hapa ndipo unapogundua kuwa watu tumeumbwa tofauti na mitizamo tofauti sana hata kwenye mamboamabyao haikuhitaji kuonyesha tabia zetu asilia.Ya mke na watoto wangu nyumbani hayakuhusu. Jadili issues na si watu!
Yameisha Mkuu tusije chukiana bure wakati maisha yenyewe hayana urefu sana mtu unaweza ishia hata hapo kwenye keyboard despite of the situation you are. Nway, lengo langu si kulumbana ila naamini hapa ndipo unapogundua kuwa watu tumeumbwa tofauti na mitizamo tofauti sana hata kwenye mamboamabyao haikuhitaji kuonyesha tabia zetu asilia.
Tuache haya na kurudi kwenye mada husika nafikiri ndio jambo la muhimu zaidi mkubwa wa maeneo ya Sanawari
Sio tabia yangu kaka, i think its better we stop this saga between us and keep on the main topicAcha kujipendekeza!
Umemalizia vizuri mjadala ila kiingereza chako kaka kinatisha mjini hapa. Usione aibu wkend kata tuition kiaina mzee. Structure mkuu imekuchenga ktk kipande kifupi hivyo,je ukiandika paragraph nzima? LOL!
Nimebanwaje bwana? Acha kudandia kapost kamoja kwa mbele weweMwenzio alishabanwa vya kutosha huko juu,ungemwacha tu apumzike. Karibu Mianzini tafadhali.
This is very normal, i think is not something to surprise you manUmemalizia vizuri mjadala ila kiingereza chako kaka kinatisha mjini hapa. Usione aibu wkend kata tuition kiaina mzee. Structure mkuu imekuchenga ktk kipande kifupi hivyo,je ukiandika paragraph nzima? LOL!
This is very normal, i think is not something to surprise you man
Actually this is not a big deal, if i was writing in my vernacular language then you have the right to criticize me and say anything about me. But if you will keep on concentrating in looking at the grammatical errors in everything other peoples write then you will end up loosing your day without achieving anything
Sawa mkuu nakubaliana na wewe, na huo ndio uungwana. Hakuna sababu ya kugombea fito ilihali tunajenga nyumba moja. Karibu Sanawari!Yameisha Mkuu tusije chukiana bure wakati maisha yenyewe hayana urefu sana mtu unaweza ishia hata hapo kwenye keyboard despite of the situation you are. Nway, lengo langu si kulumbana ila naamini hapa ndipo unapogundua kuwa watu tumeumbwa tofauti na mitizamo tofauti sana hata kwenye mamboamabyao haikuhitaji kuonyesha tabia zetu asilia.
Tuache haya na kurudi kwenye mada husika nafikiri ndio jambo la muhimu zaidi mkubwa wa maeneo ya Sanawari
nashukuru kwa uungwana wako mkuuSawa mkuu nakubaliana na wewe, na huo ndio uungwana. Hakuna sababu ya kugombea fito ilihali tunajenga nyumba moja. Karibu Sanawari!
Poa sana mkuu. Nitatia team siku moja kwani kwa sasa niko Babati kikazi, nimeamini wagombanao ndio wapendanao!nashukuru kwa uungwana wako mkuu
Sanawari kubwa sana mhe specify mie nitakaribia sina hiyana
Nawe karibu LeBabire opposite na Mount Meru Hotel if you dont mind
Lakini pia napatikana Summit Club opposite na Green Acres School
Mkuu haitakiwi kugombana au kuitilafiana kiasi cha kukosana kabisa ndugu yangu. Pouwa mkuu hata wewe waweza ku-suggest tuonane wapi incase wote tukiwa Arusha kwa maana kazi zangu ni za kusafiri safiri sana. Otherwise nitaku-PM ili tuweze kuongea na kupeana contact details kwa undani zaidi mhe.Poa sana mkuu. Nitatia team siku moja kwani kwa sasa niko Babati kikazi, nimeamini wagombanao ndio wapendanao!