Wiki nilimpeleka binti yangu hospitali! Nilipata kitu kipya ambacho nawaomba niwashirikishe!
Binti yangu ana miaka 3.4 Hivi ! Ni mtoto mwongeaji sana na mwepesi wa kukamata chochote anachosikia iwe ni habari ya Tv redia au mazungumzo ya watu,Mf wmaka jana alimwambia polisi tukiwa kwenye dala2 kuwa Mapolisi wanaua waandishi wa habari! akirejea taarifa ya kuuawa kwa Mwangosi!
Lingine kubwa[pengine ndio mzizi wa swali langu ] ni kila manapokwenda ni lazima afanye kitu kam fujo hivi! mfano kanisa atapita mbele kuimba na kwaya nk .
Juzi tukiwa hospitali kama kwaida yake aliniambia anataka kushuka atembee kidogo! nilimwambia atulie si anaumwa ! akasema anataka kuangalia hospitali ilivo.Niliona isiwe tabu kwani ningemzuia angelia basi alipita kuangalia maua na akaenda mpaka ilipo sanamu ya Bikira Maria! na kuichunguza na kuuliza ni kitu gani ! Baadaye akwawa aanamfuta kilamtu mwenye mtoto mdogo ili kumsalimia[walikuwepo watu kam 4 hivi]
Hali hii ilimvutia nesi mmoja mtu mzima !
Akabeba hadi ofisini kwake ! baadaye akaniita .Alichonieleza nilishangaa!
Aliniambia kuwa mwano ni mtundu sana .....kuna dawa inaitwa Vitasquare itamsaidia sana kuondoa utundu na kumfanya awe bright!
Sikuelewa!ALINIAMBIA ZINAPATIKANA PHARMACY!
Naomba kujua hivi hii ni sayansi aina gani!
Je kuna ukweli wowote katika hilo!
Sisi huwa tuna mchukulia kuwa ni kawaida tu na kadri anavyokuwa kuna vingine ataviacha !
Aidha ni kweli anauwezo mkubwa wa kuongea na kujenga hoja kuliko umri wake.....sijahakiksha kuwa na shule atakuwa hivyo kwani bado anacheza Chekekechea!
Binti yangu ana miaka 3.4 Hivi ! Ni mtoto mwongeaji sana na mwepesi wa kukamata chochote anachosikia iwe ni habari ya Tv redia au mazungumzo ya watu,Mf wmaka jana alimwambia polisi tukiwa kwenye dala2 kuwa Mapolisi wanaua waandishi wa habari! akirejea taarifa ya kuuawa kwa Mwangosi!
Lingine kubwa[pengine ndio mzizi wa swali langu ] ni kila manapokwenda ni lazima afanye kitu kam fujo hivi! mfano kanisa atapita mbele kuimba na kwaya nk .
Juzi tukiwa hospitali kama kwaida yake aliniambia anataka kushuka atembee kidogo! nilimwambia atulie si anaumwa ! akasema anataka kuangalia hospitali ilivo.Niliona isiwe tabu kwani ningemzuia angelia basi alipita kuangalia maua na akaenda mpaka ilipo sanamu ya Bikira Maria! na kuichunguza na kuuliza ni kitu gani ! Baadaye akwawa aanamfuta kilamtu mwenye mtoto mdogo ili kumsalimia[walikuwepo watu kam 4 hivi]
Hali hii ilimvutia nesi mmoja mtu mzima !
Akabeba hadi ofisini kwake ! baadaye akaniita .Alichonieleza nilishangaa!
Aliniambia kuwa mwano ni mtundu sana .....kuna dawa inaitwa Vitasquare itamsaidia sana kuondoa utundu na kumfanya awe bright!
Sikuelewa!ALINIAMBIA ZINAPATIKANA PHARMACY!
Naomba kujua hivi hii ni sayansi aina gani!
Je kuna ukweli wowote katika hilo!
Sisi huwa tuna mchukulia kuwa ni kawaida tu na kadri anavyokuwa kuna vingine ataviacha !
Aidha ni kweli anauwezo mkubwa wa kuongea na kujenga hoja kuliko umri wake.....sijahakiksha kuwa na shule atakuwa hivyo kwani bado anacheza Chekekechea!