labda mil 90 za zimbabwe.
Eti kalipwa mil.90
hivi nyie mili.90 mnaijua???hau mnaropoka tu???kwanza jamaa kaimba cd play back
na pili nimetoka kuongea na mtu wa tigo ndani kabisa hamna kitu kama hicho hawawezi wakamlipa mil.90 then wengine wapewe mil.10....uzushi uzushi tu ilimradi muonekane mnajua ishu zisizo za ukweli
Eti kalipwa mil.90
hivi nyie mili.90 mnaijua???hau mnaropoka tu???kwanza jamaa kaimba cd play back
na pili nimetoka kuongea na mtu wa tigo ndani kabisa hamna kitu kama hicho hawawezi wakamlipa mil.90 then wengine wapewe mil.10....uzushi uzushi tu ilimradi muonekane mnajua ishu zisizo za ukweli
Kibba kulipwa mil.10 ni matumizi mabaya ya pesa.
Sijaelewa unazungumzia nini....?
Mleta uzi katoa story instagram analeta huku.. Huu umbeya pelekeni hukohuko instagram mlikojaa vilaza
nenda kakojoe ukalale...ndo nyie nyie red mnasema whiteSijaelewa unazungumzia nini....?
Hahahaha analipwaga bei gani kwani??
Lazima nikununulie simu ya kukuingiza instagram,nikumbushe!
Mil 2 mwisho
nenda kakojoe ukalale...ndo nyie nyie red mnasema white
Kibba kulipwa mil.10 ni matumizi mabaya ya pesa.
alitakiwa apele laki mbili