Eti Diamond kalipwa Miioni 90 'Tigo Kiboko Yao' na wasanii wengine wamelipwa Milioni kumi kumi

Kweli kabisa maana nyimbo yenyewe moja kama unaijua ile video yake ameanzia kuimba chooni.
Nyimbo zilizobaki kaimba Mimi sijazaliwa

Huku anajitizama kwenye kioo jinsi anavyoimba, king bana
 
Eti kalipwa mil.90
hivi nyie mili.90 mnaijua

Tatizo ni nini mpaka asilipwe mil 90? Kama wameingiza bil 4 kwenye hio show, kwa nini asipewe hio mil 90?

Wewe unayeijua mil 90 tuambie ikoje mpaka Diamond asipewe..
kwanza jamaa kaimba cd play back

Does it matter? Inahusu? Unajua contract ilikua inahitaji nini toka kwa diamond?

na pili nimetoka kuongea na mtu wa tigo ndani kabisa

Au unataka tujue nawewe una connections? Hahahahaaa.... Haya mambo waachie mabingwa wakina warumi
 
Last edited by a moderator:

Au unataka tujue nawewe una connections? Hahahahaaa.... Haya mambo waachie mabingwa wakina warumi[/QUOTE]

Wee ----- bilioni nne unaijua au unasema tu! Labda kiingilio kilikuwa milioni moja kwa kila mtu!

debe tupu mazafantaz unachonga sana you know!!
 
Last edited by a moderator:
Wee ----- bilioni nne unaijua au unasema tu! Labda kiingilio kilikuwa milioni moja kwa kila mtu!

debe tupu mazafantaz unachonga sana you know!!

Unajua wametumia kiasi gani ku promote hii show? Unajua wametumia kiasi gani kuandaa na kulipa wasanii katika hii show? Unajua sales zimeongezeka kwa kiasi gani as a result of this show?

Tumia kichwa chako kufikiri, sio masaburi mazafantazzzz mwenyewe..
 

Huyo mtu wa tigo angekupa signed agreement kati ya tigo na Diamond ili kuthibitisha malipo sahihi aliyopewa Diamond. Masuala ya kwamba wasanii wote wanalipwa sawa ni huko fiesta wanakopelekwa pelekwa tu. Tigo kila mtu kafanya maongezi na makubaliano kivyake. So kama kuna mtu kalipwa milioni mbili basi ni kulingana alivyokubaliana yeye. Kama kuna mtu kalipwa milioni 90 basi ni yeye na makubaliano yake na tigo. Diamond ni Alikiba ni watu wawili tofauti. Kila mtu ana approach yake katika biashara. Na kila mmoja na minimum payment zake katika biashara. Hata terms and condition zao zinatofautiana.
 

Huyu jamaa anazuga tu, anataka tujue kwamba na yeye ana connections.... Moreover kwa habari za uongo..
 
Kwani tatizo nini?!,hivi kweli ndio unapoteza mda wooote unakuja kuandika kitu kama hiki ili tu ueleweke kuwa kalipwa kias gani!!,saasa basi ndo utambue hivyo kalipwa hio hela,na alitakiwa kwenda nje kucheza show but tigo waliamua kumzuia astoke yaani awepo hapa tz hivyo wakafika hio amount sjui tatzo liko wapi?!!
 

Tatizo uongo...Kama hujui kusoma
Kakojoe ulale. ..Tatizo wanaongeza masifuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…