nenda kakojoe ukalale...ndo nyie nyie red mnasema white
alitakiwa apele laki mbili
labda mil 90 za zimbabwe.
Unajua wametumia kiasi gani ku promote hii show? Unajua wametumia kiasi gani kuandaa na kulipa wasanii katika hii show? Unajua sales zimeongezeka kwa kiasi gani as a result of this show?
Tumia kichwa chako kufikiri, sio masaburi mazafantazzzz mwenyewe..
Mill 2 kajenga hii mwenye kulipwa mill 90 kapanga
Huyu jamaa anazuga tu, anataka tujue kwamba na yeye ana connections.... Moreover kwa habari za uongo..
ni sawa na sh ngap za kitanzania mkuu
Laki 2 na nusu.
Million 90 halafu kina T.I wanapokuja wanalipwa ngapi
Naomba unisaidie kuuliza mwanawane!
Wee mbigili kuwa muelewa! Hakuna show inayoweza kuingiza net bilioni nne hapa Tanzania kutokana na hali ya kiuchumi pia eneo la kuweka idadi kubwa ya watu! Hata ulete wasanii wote wakubwa duniani wafanye show moja!Unajua wametumia kiasi gani ku promote hii show? Unajua wametumia kiasi gani kuandaa na kulipa wasanii katika hii show? Unajua sales zimeongezeka kwa kiasi gani as a result of this show?
Tumia kichwa chako kufikiri, sio masaburi mazafantazzzz mwenyewe..
Wee mbigili kuwa muelewa! Hakuna show inayoweza kuingiza net bilioni nne hapa Tanzania kutokana na hali ya kiuchumi pia eneo la kuweka idadi kubwa ya watu! Hata ulete wasanii wote wakubwa duniani wafanye show moja!
Then wee mazafantazz acha akili za kifesibuku you know!!
Wee mbigili kuwa muelewa! Hakuna show inayoweza kuingiza net bilioni nne hapa Tanzania kutokana na hali ya kiuchumi pia eneo la kuweka idadi kubwa ya watu! Hata ulete wasanii wote wakubwa duniani wafanye show moja!
Then wee mazafantazz acha akili za kifesibuku you know!!
Mil 2 mwisho
labda mil 90 za zimbabwe.
Sasa kwa akili yako ndogo uliyojaliwa na Mwenyezi Mungu, unadhani Tigo waliingiza sales kutoka kwenye gate collections?
Generally speaking, you have a low thinking capacity... Sitabishana na wewe tena mazanfantaz times 10.