Eti form4 walifeli mana haka kamchezo kalithibitiwa je ni kweli

Tamko la Waziri wa Elimu ni kua eti Wanafunzi walifeli sana mana haka kamchezo kakuiba pepa kalithibitiwa
 
Hakuna Mtaala unaoeleweka,Vitabu Lukuki,haileweki kipi ni kipi. Isifanyike biasha kwenye Swala la Elimu.Waalimu Wanapuuzwa-Sababu hakuna mtptp wa Mbunge anayesoma Shule Kata wala wa Waziri.Wachache wanaifaidi Nchi hii.
 
Ni kweli kabisa
 
sababu kubwa ya wanafunzi kufeli ni mtihani
Kama hakuna mtihani wanafunzi wote watafaulu
 
Mkuu yote kwel mfano kaskul ketu kaKata ticha m1 head tu no maktaba,alaf unategemea form4 wafaulu kwa hali hii?!Mhh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…