Ndio maana yake kaka, lakini hii ni kwa yule ambae ndio kwanza mnakutana kwa mara ya kwanza ukimtongoza akakubali inabidi utoke nduki labda kama ni changu!Kumbe nikimtongoza mwanamke akakubali ndani ya siku moja nitoke ndukii :biggrin1::biggrin1:
ktk kila tulifanyalo katika maisha yetu lazima tuwe na maamuzi sahihi,sasa watu walitaka akurupuke tu jamani?lazima umsome mtu kwamba sasa hayo mavazi yake ntambadilishaje frm madilu system tu falii pupa,au huo mwendo wake atatoka vipi frm joti to masanja etc kuna vitu lazima uchanganue jamani pia u never no mabye mdada alikuwa anaongea na Mungu wake amuonyeshe njia yote yanawezekana.
:fear::fear::fear:Kumbe hujui mkwe?
Lakini kwani bado unatongoza ?
:hail::hail:😛ray2:😛ray2::croc::croc:utabeba majini shauri zako.
cheka sana.kweli cousin... yaani merytina anaona kabisa hilo ni chaka lakini anatushindilia humo ati ni beach plot
dah!!
Na mtu kama lazima umbadilishe KILA alivyo hamna mapenzi hapo ni kubabaishana tu....yani anataka mtu mwingine tofauti alafu amtake kaka wa watu ajibadilishe kwanzia utosini mpaka vidoleni then what?!!
Aisee!!! Yaani jana usiku tu nilikutana na binti maneno mawili tu akakubali kwahiyo Katavi nikumuona huyo binti tena leo:bolt::bolt::bolt:au sio???Ndio maana yake kaka, lakini hii ni kwa yule ambae ndio kwanza mnakutana kwa mara ya kwanza ukimtongoza akakubali inabidi utoke nduki labda kama ni changu!
tena sanaKumbe nikimtongoza mwanamke akakubali ndani ya siku moja nitoke ndukii :biggrin1::biggrin1:
Mimi nina uhakika mara ya kwanza uliponiona nikakusalimia ukanichunia nilijua tayari umeisha fall in love na mimi.Na mtu kama lazima umbadilishe KILA alivyo hamna mapenzi hapo ni kubabaishana tu....yani anataka mtu mwingine tofauti alafu amtake kaka wa watu ajibadilishe kwanzia utosini mpaka vidoleni then what?!!
Kwanini nitoke ndukii wakati kanikubalia banaa:biggrin1::biggrin1:tena sana
Tatizo sio kwamba anaweza au hawezi ila anataka kufanya hivyo maana mwenyewe kasema alikua anachukia mpaka salamu yake.Sasa akishindwa kumbadilisha awe vile anavyotaka ndipo atakapomuacha kaka wa watu solemba!!!zea is no way utambadilisha mtu kwa kila kitu unless ww uwe Mungu,wat I meant is kumbadilisha mtu kunaanza ktk fikra zako kwanza mfano kama hupendi mwanaume mfupi ktk maisha yako lakn ukakutana nae na akakuonyesdha mapenzi ya dhati mwisho wa siku utampenda na kuanza kubadilisha hisia zako na kumwona toll kuliko hasheeem thabit,kila kitu ni jinsi unavyokipoea.
Ndio hivyo!Aisee!!! Yaani jana usiku tu nilikutana na binti maneno mawili tu akakubali kwahiyo Katavi nikumuona huyo binti tena leo:bolt::bolt::bolt:au sio???
Kwanini nitoke ndukii wakati kanikubalia banaa:biggrin1::biggrin1:
Nlikua nakuchunia nichunguze kwanza kama una faranga!!Mimi nina uhakika mara ya kwanza uliponiona nikakusalimia ukanichunia nilijua tayari umeisha fall in love na mimi.
Tatizo sio kwamba anaweza au hawezi ila anataka kufanya hivyo maana mwenyewe kasema alikua anachukia mpaka salamu yake.Sasa akishindwa kumbadilisha awe vile anavyotaka ndipo atakapomuacha kaka wa watu solemba!!!
Hahaha!!! Sheikh YahyaUtakumbana na majini, shauri yako.....
Si umeona zilivyosheheniNlikua nakuchunia nichunguze kwanza kama una faranga!!'
I am imperfect that's why you have fallen in love with me." We come to love not by finding a perfect person, but by learning to see an imperfect person perfectly."
" We come to love not by finding a perfect person, but by learning to see an imperfect person perfectly."
I am imperfect that's why you have fallen in love with me.