Then she should have seen those imperfections and accepted them from the begining.Sio unamuona mtu choo leo kesho umajifanya ameshakua sebule.....
Asante sana wikiendi yangu imeenda next level sasammmh ur perfect thats y i am in love with u.
atafutae hachoki akichoka kapata!uzuri tunawajua mwenye nia ya kweli na mzinguaji,fine wapo wanaokutana leo kesho wanado for love,ngoja uone kama watakaa,very few will last the rest kushney
Hahaha!!! Fidel bana kama vile unavyokuwa na kiu na maji ukimalizakunywa unatupa chupa kwenye dustbinMiaka 3 nilikuwa natafuta nilipo pata kiu ikaisha
Huyu dada anaomba msaada..
Akiwa ndio amemaliza skuli yake na kupangiwa kazi alipofika kwa ofisi akakutana na kaka ambaye hakumpenda hata kidogo kuanzia muonekano mpaka mavazi ,na hakupenda hata salaam yake.
Ila ndo alikuwa jirani kiofisi,kila kaka akimsalimia alijidai hasikii na kuendelea na kazi..
Kasheshe ikaanza siku kaka alipojua jina la huyu Binti na kumtumia email ya salam hakujibu..
kesho yake akatuma tena akajibu dry.. sijambo full stop.dada yuko single kaka hajaoa pia.
Lakini siku zilivyosonga mbele huyu kaka akawa anaingia ofisini kwa dada na salam zake lakini binti alikuwa serious ,,,mara amletee apple dada kamchunia tu.
Issue imeanza pale kaka wa watu alipokosekana ofisini kwa week dada kuuliza kaambiwa anaumwa ndipo alipoamua kutafuta kwake na kupapata..
Kumkuta kaka kweli akiwa hoi hana msaada na kuanza kumuhudumia kuanzia chakula mpaka usafi..kaka kapona na kurudi job.
Issue imeendelea kaka wa watu kasafiri kikazi for 3 month eti binti anahisi kuumwa
Anatamani kumuona hamuoni..
Kumpigia simu napo yuko ovasizi...
Maswali anayojiuliza
1.Mbona alivyomuona mara ya kwanza hakumpenda na alimchukia
2.Hajui nini anakitaka kwa huyu kaka
3.Hivi ni kweli kuna penzi hapa au hisia ...
Nawakilisha!:A S-rose:
Asante sana wikiendi yangu imeenda next level sasa
mambo ya zamani hayo!!!!kumbe nikimtongoza mwanamke akakubali ndani ya siku moja nitoke ndukii :biggrin1::biggrin1:
According to my mtazamo.....
Mbona alivyomuona mara ya kwanza hakumpenda na alimchukia
Hakumpenda sababu katika sifa na vigezo alivyo jenga huyo mdada kichwani mwake huyo kaka hakua nalo hato moja (yaani physically and the attitude.) Akamuona mshamba na hamfai.
Hajui nini anakitaka kwa huyu kaka
Naamini anajifanya tu hajui, but deep down huyo mdada kisha jua kua kaanguka kwa huyo kaka, wewe unafikiri hio homa inatoka wapi?? Mawazo yamemzidi, sijui atarudi? sijui bado ananitaka? sijui bado ana interest na mimi? e t c.
Hivi ni kweli kuna penzi hapa au hisia ...
Personally naamini mkaka anampenda dada kwa dhati, upande wa mdada zilianza chuki, ikaja hisia kisha mapenzi - kitendo cha kwenda kumuuguza speaks a lot.
By the way FL hope uko poa.
According to my mtazamo.....
Mbona alivyomuona mara ya kwanza hakumpenda na alimchukia
Hakumpenda sababu katika sifa na vigezo alivyo jenga huyo mdada kichwani mwake huyo kaka hakua nalo hato moja (yaani physically and the attitude.) Akamuona mshamba na hamfai.
Hajui nini anakitaka kwa huyu kaka
Naamini anajifanya tu hajui, but deep down huyo mdada kisha jua kua kaanguka kwa huyo kaka, wewe unafikiri hio homa inatoka wapi?? Mawazo yamemzidi, sijui atarudi? sijui bado ananitaka? sijui bado ana interest na mimi? e t c.
Hivi ni kweli kuna penzi hapa au hisia ...
Personally naamini mkaka anampenda dada kwa dhati, upande wa mdada zilianza chuki, ikaja hisia kisha mapenzi - kitendo cha kwenda kumuuguza speaks a lot.
By the way FL hope uko poa.
Mie nachokiona hapa kwa sababu niko mitaa hii ...huyu dada alikuja kwa nia moja ya kufanya kazi pasipo kujiingiza katika mahusiano na mtu yoyote huku akiamini kwa misimamo yake ataweza.
Tatizo likaja kumbe kaka wa watu jicho limeona ila mpaka sasa mbona hajafunia hisia zake kwa huyu dada kama anampenda au lah
Na mbona alienda zake ovasizi bila kumuaga kama anampenda?
Sasa vile visalaam na email labda alikuwa anajiuliza kwanini huyu kaka ananisalimia
Na alipokosa kumuona week ana vile kazoea kupata salam na vimail asivyovipenda akaanza kuvimiss
Uamuzi aliochukua kumtafuta ni moyo ulimsukuma ..kwani hakumjua kaka kiundani ,anaishi vip na mengineyo lakini alienda kumsalimia
Na baada ya kumkuta katika hali ya ugonjwa na kuamua kumsaidia mpaka akapona na kaka wa watu hakusema kitu
na je kwa nini sasa anatamani kumuona hata kusikia sauti yake..
Jibu lake ni...
Penzi ni kitu na cha ajabu kinaweza kuchanua popote na wakati wowote........ ila sasa kwa huyu mdada ndo nakosa kujua kama ni true love or hisia za penzi zinamsukuma kummiss kaka wa watu
Inawezekana kabisaamim bwana ninachoona ni kwamba dada amemiss antention tu period.
Both:biggrin1:mimi au juniour?
Both:biggrin1:
Asha D niko powah sana my dear sijui wewe na weekend inakwenda namna gani?