Eti hivi ndio nini sasa?

Eti hivi ndio nini sasa?

Zee Korofi

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2021
Posts
1,604
Reaction score
1,430
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Juzi nilikuwa club na rafiki zangu tunapata beer mbili tatu. Mke wangu ni mjamzito wa miezi 6, kwa bahati mbaya nilichelewa kurudi, nilirudi saa 6 huku nikiwa tungi. Sikumbuki ni nini kilitokea baada ya kugonga geti, ila nakumbuka nilishtuka asubuhi nikiwa store nimevimba uso wote.

Pia, mguu wangu wa kushoto ulikuwa umeteguka, asubuhi mke wangu akanipa pole na kusema nilianguka wakati tukiingia sebuleni, nipo kwenye maumivu makali sana, jicho moja limevimba, sipo vizuri in short, nashindwa kuelewa kinaweza kuwa nini hiki?
 
Mkuu alikupiga na kitu kizito kichwan
 
Mkeo alikuwahi kabla hujawaona na Mchepuko wakakupa kichapo heavy kisha wakakulaza store na wao wakalala kitandani huku wakipeana utamu
 
Inawezekana ulianguka kweli.......lakini kwanini alikuacha ulale store?
 
Kwahiyo ulivyoanguka mkeo akaona akupeleke store ukapumzike na sio chumbani?
 
Pole sana.sehemu nyingine hausikii maumivu? Usipende kulewa Sanaa vijana wa siku hizi hawana adabu.hawachelewi kukubeba wakisema NI ndugu yao
 
Huku kitaa nachokaa kuna jamaa siku 1 baada ya kuzinguana na mkewe ikabidi aende kupiga dagi eti aondoe mawazo! Jamaa alikunywa sana siku hiyo kuliko kawaida yake.

.....Basi bana akaamua kurudi home kwake late night huku anayumba mbaya na njia aliyokua anapita ni mbaya ina mawe mawe si akaja akateleza akaanguka akazima hapo.

Kuja kustuka asubuhi anashangaa anapata maumivu makali kunako mduku, kupitisha dole anashangaa pana utelezi akajua labda alihara bahati mbaya ebana kumbe wahuni walimmwagia wino wa kiume kunako. Hivi navyoandika hapa jamaa ana miezi 5 sasa hayupo kwake mkewe akajua kaitelekeza familia ila kitaa story ilikuja kujulikana baada ya mwezi. Sijui mkewe alishagajua kilichomkuta mumewe labda.
 
Back
Top Bottom