@kama ndo loan amount itakua hivi!!
A=100%
b=90%
c=80%
d=70%
e=60%
f=50%
g=40%
h=30%
i=20%
j=10%
k=0%
Are u sure with dat mkuu??
lakin mkuu,kinacho nitatza kuna wengne hawajawekewa hzo grades?
lakin mkuu,kinacho nitatza kuna wengne hawajawekewa hzo grades?
Yap!! kama hizp herufi katika majina zina ashiria loan amounts. Ukifuatilia katika Welcome to HESLB walishawahi toa maelezo ya hizo grades
Duh!kama ndo ivo nina ka C kangu!
ww ulikuwa wapi mkuu wakati tunatangaziwa hizo mambo au ndio ulikuwa villageAre u sure with dat mkuu??
ww ulikuwa wapi mkuu wakati tunatangaziwa hizo mambo au ndio ulikuwa village