Aristolicius
Senior Member
- Mar 3, 2012
- 110
- 38
- Thread starter
-
- #41
Huyu dada wa ajabu, usomeshwe na kazi utaftiwe bado hutaki kweli kusoma sio kuelimika. Huyu hata badae atakuwa mzigo sana kwako tena kwelikweli kazi unayo.
habari jf!
Kuanzia form 4 nilianza urafiki wa kawaida na binti moja jirani yetu,niliponza f5 urafiki ukageuka kuwa mapenzi ila sikuwahi kufanya nae mapenzi hadi siku moja wote tukiwa f6 ambapo ndo ilikuwa mara yangu ya 1 na yake kufanya tendo hilo ,kosa lililozua kosa jingine ambapo binti alipata mimba ila kwa bahati nzuri aliweza kufanya mitihani yake bila kugundulika,baada ya mitihani mimba ikawa kubwa wazazi wako wakahoji na mimi nikatajwa kama muhusika,baada ya vikao vya pande mbili za wazazi,wazazi wangu walikubali kumtunza binti na mtoto,na wazazi wake wakasema kama faini wazazi wangu watawajibika pia kumsomesha binti,hivyo binti alijifungua mtt wa kike na baada ya matokeo wote tulifaulu mm nikapata scholarship yy akachaguliwa udsm,wazazi wangu walikuwa wanampa hela za matumiz na kumpangia nyumba dar huku wenyewe wakabaki wakitunza mtt,wakati walikizo binti alipewa gari limsaidie kumpeleleka mtt clinic na shughuli nyingine ,cha kushangaza ni kwamba baada ya kumaliza masomo binti alihamia nyumbani akitafutiwa kazi anatoa visingizio anagoma na nyumbani amekaa tu hatki kufanya kazi hata za kumhudumia mwanetu eti anasema anataka alipwe! Na wakati huo huo anasema amilikishwe gari lile,anasema wasipo fanya hivyo ataenda na mtt nchi tusioijua na hatuta muona,
naombeni msaada wenu nifanyeje?
ndio ni mtoto wake ila unafikiri mtu huyu asiependa kazi na anaependa cheap money anaweza kumraise mtoto in good morals
anataka malipo kwa kumuhudimia mtoto anasema sio kazi yake ni ya housegirl
Acha kujilisha upepo, kipele kisha pata mkunaji hicho
Acha kujilisha upepo, kipele kisha pata mkunaji hicho
mi kila siku uwa nawaambia watu, umu duniani kuna watu punguani... sijaelewa kinachomfanya abaki kwenu, mtoto hataki kulea, anataka kulipwa, mshahara wa nini? anataka gari, ili? ingekuwa ni mshua wangu kajitahidi kumsomesha, na kujA kumiona mtoto. ila mengine eti ahamie kwetu nna hakika dingi angemng'oa maskio
sijakuelewa mkuu
habari jf!
Kuanzia form 4 nilianza urafiki wa kawaida na binti moja jirani yetu,niliponza f5 urafiki ukageuka kuwa mapenzi ila sikuwahi kufanya nae mapenzi hadi siku moja wote tukiwa f6 ambapo ndo ilikuwa mara yangu ya 1 na yake kufanya tendo hilo ,kosa lililozua kosa jingine ambapo binti alipata mimba ila kwa bahati nzuri aliweza kufanya mitihani yake bila kugundulika,baada ya mitihani mimba ikawa kubwa wazazi wako wakahoji na mimi nikatajwa kama muhusika,baada ya vikao vya pande mbili za wazazi,wazazi wangu walikubali kumtunza binti na mtoto,na wazazi wake wakasema kama faini wazazi wangu watawajibika pia kumsomesha binti,hivyo binti alijifungua mtt wa kike na baada ya matokeo wote tulifaulu mm nikapata scholarship yy akachaguliwa udsm,wazazi wangu walikuwa wanampa hela za matumiz na kumpangia nyumba dar huku wenyewe wakabaki wakitunza mtt,wakati walikizo binti alipewa gari limsaidie kumpeleleka mtt clinic na shughuli nyingine ,cha kushangaza ni kwamba baada ya kumaliza masomo binti alihamia nyumbani akitafutiwa kazi anatoa visingizio anagoma na nyumbani amekaa tu hatki kufanya kazi hata za kumhudumia mwanetu eti anasema anataka alipwe! Na wakati huo huo anasema amilikishwe gari lile,anasema wasipo fanya hivyo ataenda na mtt nchi tusioijua na hatuta muona,
naombeni msaada wenu nifanyeje?
Kama anataka kulipwa kwa ajili ya kutunza mtoto, that is fine. Manake hapo yeye sio kama mwali wa nyumba hiyo. Mshahara wa maid bongo ni 40 to 50,000. Mlipeni. Hakuna privilege ya gari wala nini! Tena kila akipewa mshahara asainishwe!
Umetoa wapi mwanamke asiye na akili hivyo na wewe! Ungekuwa mdogo wangu ningekupiga teke hapo kati ili wakati ukiwa hutumii akili, naniliu yako iogope na isitoe ushirikiano!