Eti huyu ndio demu mwingine anayetoka na Diamond

Namshauri Diamond akaombe ushauri kwa Mr. Nice, hawa dada zetu wapo ki masilahi zaidi, ataona anawakomoa kumbe anajikomoa, unaweza kutembea nao hata darasa Zima japo wanajuana, mwisho wa siku inabaki story kama Mr.Nice.
 
Huo ni ulimbukeni kubadili madem kama nguo
 
Ndio maana hamalizi kujengaa nyumba zakee
 
Kama wanashoboka nikuwanyosha safii tu na endelee kuwapigaa tu

ucjidanganye! utaona kama anawakomesha kwa kuwapiga papuchi zao, ila kwa upande mngine yeye ndo anapewa kichapo. re: mr nice
 
ucjidanganye! utaona kama anawakomesha kwa kuwapiga papuchi zao, ila kwa upande mngine yeye ndo anapewa kichapo. re: mr nice
Yap iyo itukuwa akili yake kusuka au kunyowa the end of the day ata cry safe
Nimekusoma mkuu uko sahihi
 
Huo ni ulimbukeni kubadili madem kama nguo

Sasa tatizo madem wenyewe hawajielewi!!We ujiulizi Mijitu inakujua we ki to mbi lakini bado inakuja tu na kuleta papuchi, na ukikataa hawakawii kukutangazia we shoga.
 
Huyu mtu anaejiita Team ukweli na uwazi ni next level aiseee utafikiri camera za cctv maana anajua kila nyota wa nyumbani kwa upana wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…