eti inasemekana kuwa.......

Hii ni kweli kabisa..solution yao inakuja
 
Ehh...sawa...
ishu ya ukali ukali?? samahani kama umekwazika!

mbona nimehasema ishu ya ukali kwangu haiendani na hiyo mambo coz hata kama akiwa hayupo na aipokuwepo c aninnipa na cha akiba?( alifanya kazi yake ipasavyo)...umenipata?
 
Nyamayao umejibu kwa ufupi sana; as if hutaki kuulizwa ulizwa thats why wanasema umejibu kw aukali nway ladiiiiies tupeni majibu kuna uhusiano kweny hii mada hapo juu?

Salams wapwaza na mabinamz
 
Nyamayao umejibu kwa ufupi sana; as if hutaki kuulizwa ulizwa thats why wanasema umejibu kw aukali nway ladiiiiies tupeni majibu kuna uhusiano kweny hii mada hapo juu?

Salams wapwaza na mabinamz
iko biyeeeeeeeeee!
 
Ha ha haaaaaaaaaa! Jamaa yangu mmoja anadai ana tabia ka ile ya yule jamaa wa VUNJA UKIMYA. Akifika home tu mkali ka nini. Kihouse ni kwa manati kiaina. Mama akaanza kuhisi kuwa jamaa ana mahali anahemea. Bibiye jana kaamua kuvunja ukimya, jamaa anarudi tu anakutana na mwanamama anagugumia maumivu! Pembeni kuna vidonge tofauti tofauti ,,,,,,,,,,,,mama vipi? Kaamua kujimaliza maana kwao hakukosa kitanda wala chakula. Kafata shughuli ati! Jamaa kahamaki kanipigia simu,,,,eeh bana njoo huku shemejio kanywa sumu huku. Du anirusha handasi ka nini ndo kwanza nilikuwa naanza kachupa kangu ka pili ka valeur! Kufika tu tukaanza kusema unajua huyu tuite polisi waje wamhoji. Nikanyanyua simu, ile naanza kusearch number kakurupuka huko anasema jamani acheni sijanywa sumu nilikuwa namtishia jamaa maana kazidi kuninyima nanihiiiii. Alafu sasa anasema kwa sauti kuuubwa, wacha watu wacheke, mama kawa mkali "nyie mnafikiri mazuri hayo kwetu sikosa chaku wala nini mi nimefata hiyo hiyo alafu ananinyima tu mpa siku nyingi nalazimisha ndo napewa mie nimechoka anambie kama anaye na mimi nitafute pa kupozea", ilibidi tupooze kiaina wakaishia kulala. Sijui ka jamaa katoa haki za mtu ama vipi.
 
ha ha ha!
mwanamke akifika hii stage anakuwa AMEVUMILIA SANA!.....
 
Nyamayao umejibu kwa ufupi sana; as if hutaki kuulizwa ulizwa thats why wanasema umejibu kw aukali nway ladiiiiies tupeni majibu kuna uhusiano kweny hii mada hapo juu?

Salams wapwaza na mabinamz

nikijua Roy kanisoma...sasa ipo hivi kama kwangu ukali ni wangu tu haihusiani na tendo la ndoa mana huko cna complain kabisa, nalishwa nashiba tele...umenipata?...nilikumis pia.
 
Kaka Eaka I wish ningekuwa ndo huyo jamaa naambiwa hivyo; lazima niombe likizo ya dharula kwa muda mfupi ati!:smile-big::target:
 
:tape::shut-mouth:
Duh! Mshikaji wako hatoi mpaka mgomo ufanyike? Mwambie whuni wakishtukia wataanza kumsaidia kazi. Nina uhakika jana atakuwa alimpa bakora za kiukweli shemeji yetu!
 
kitaalamu hii tunaita POINT OF NO RETURN!
mwanamke akianza kutoka nje ndo basi tena!...atawapa mahawara hadi TIGO!

ni kwa mwanamke tu? mie nadhani mke/mume akinza kutoka nje nddio bac tena.
 
ni kwa mwanamke tu? mie nadhani mke/mume akinza kutoka nje nddio bac tena.
wanaume kutoka nje NI PART OF OUR DAILY ROUTINE!nachelea kusema ni sehemu ya maisha yetu!tunatoka nje na tunaziheshimu na kuzijali ndoa....

MWANAMKE AKIANZA KU-CHEAT(hapa tunazungumzia ndoa sasa)........HA HA HA HA!bora hata atumie drugs utampeleka REHAB,lakini akianza ku-cheat anawehuka maanake huko anatoa kila kitu,na anakabiliana na kila mikikimikiki...!wanaotoka na wake za watu wanajua wanachowafanyia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…