The Following User Says Thank You to Rose1980 For This Useful Post:na wanaume wakikosa kitu kamili wanakuwaje?????.......hahahahaah!!!!!!!!!!!!!
kuna ukweli kdg labda hormone zile zinatoka znaenda miguuni kupitia kiunoni so znafanya valva ierupt then inamultiply to......... afu ikija kushukia machoni mtu anakuwa kipofu na ivyo anakuwa ana hasira tu muda wote cz haon tena!!!
NI UKWELI TUPU UO.
tak t!!!!!!!!!!!!!:lying:
The Following User Says Thank You to FirstLady1 For This Useful Post:Labda ni kweli maana wengine huwa tunakuwa na hasira pasipo kujua sababu...Kama muzee amekaa mbali kwa muda mrefu ..akili inakuwa kama imechoka kufanya kazi inabidi ilazimishe tu ..
Hii inawezekana ni sababu ambayo nilikuwa siijui:hippie:
Here we go!Labda ni kweli maana wengine huwa tunakuwa na hasira pasipo kujua sababu...Kama muzee amekaa mbali kwa muda mrefu ..akili inakuwa kama imechoka kufanya kazi inabidi ilazimishe tu ..
Hii inawezekana ni sababu ambayo nilikuwa siijui:hippie:
wanaume kutoka nje NI PART OF OUR DAILY ROUTINE!nachelea kusema ni sehemu ya maisha yetu!tunatoka nje na tunaziheshimu na kuzijali ndoa....
MWANAMKE AKIANZA KU-CHEAT(hapa tunazungumzia ndoa sasa)........HA HA HA HA!bora hata atumie drugs utampeleka REHAB,lakini akianza ku-cheat anawehuka maanake huko anatoa kila kitu,na anakabiliana na kila mikikimikiki...!wanaotoka na wake za watu wanajua wanachowafanyia
Here we go!
Shuhuda wa kwanza....:smile-big:
mpaka ameanza ku cheat c kwamba na wewe umem cheat vya kutosha mpaka kashindwa kuvumilia akaona nae ajaribu? sasa mnaonaje mkiacha ku cheat ili kuepusha hizi tafrani?
mmh!mpaka ameanza ku cheat c kwamba na wewe umem cheat vya kutosha mpaka kashindwa kuvumilia akaona nae ajaribu? sasa mnaonaje mkiacha ku cheat ili kuepusha hizi tafrani?
Sie twaweza toka huku tumebakiza roho zetu ndani
unajua nyamayao hata NATURE INAKUBALIANA NA HALI HALISI!bahati yenu nzuri, ukimaanisha sisi tunatoka na roho zetu kabisa, hamuoni kama nyie ndio mnasabanisha yote haya, kuna wale wanatumia formula ya if u do me i do u, sasa ukimduu na yeye anakuduu,sasa hamuoni mnajiletea matatizo wenyewe?
mmh!
sidhani kama ni kitu kinachowezekana!
kuna wakati mwanaume ni lazima acheat ili asimchoshe mkewe....!
think of it......!
ha ha ha ha!cjui kwa wengine lakini mie hanichoshagi, ndio starehe yangu hiyo.....mdogo wangu anachokaga?
Hakuchoshi...ina maana anakupa dozi isiyokuzidi....dawa inayobaki anampa da sophy.cjui kwa wengine lakini mie hanichoshagi, ndio starehe yangu hiyo.....mdogo wangu anachokaga?
cjui kwa wengine lakini mie hanichoshagi, ndio starehe yangu hiyo.....mdogo wangu anachokaga?
Hakuchoshi...ina maana anakupa dozi isiyokuzidi....dawa inayobaki anampa da sophy.
hakukuhusu lakini lazima aende!ucpindishe maneno, ananilissha nakula nashiba na kuridhika kabisa...huko kwingine hayanihusu.
hakukuhusu lakini lazima aende!
think of the forty maternity days baada ya kujifungua..........
hebu think it ALOUD!anakusubiri?
Senki yu!ucpindishe maneno, ananilissha nakula nashiba na kuridhika kabisa...huko kwingine hayanihusu.
hakukuhusu lakini lazima aende!
think of the forty maternity days baada ya kujifungua..........
hebu think it ALOUD!anakusubiri?