Forty days tu??? wengine huambiwa kipindi chote mama anaponyonyesha asiguswe. Sasa fumes za vichwani kwa wanaume zinaweza kuwa sawa bila kucheat?
Forty days tu??? wengine huambiwa kipindi chote mama anaponyonyesha asiguswe. Sasa fumes za vichwani kwa wanaume zinaweza kuwa sawa bila kucheat?
The Following User Says Thank You to Gaijin For This Useful Post:kwani ni 40 days?
hata baada ya wiki tu poa kama mwili wa mama unaruhusu 🙂
hapo sasa ndo ninaposhindwana na wewe sasa!inabidi nikuulize kama una hakika na hilo maana najua bado hujafikia huko, una hakika?
kwani ni 40 days?
hata baada ya wiki tu poa kama mwili wa mama unaruhusu 🙂
Nani huwaambia; kama haumwi wala ni ni two weeks zinatosha!
nikijua roy kanisoma...sasa ipo hivi kama kwangu ukali ni wangu tu haihusiani na tendo la ndoa mana huko cna complain kabisa, nalishwa nashiba tele...umenipata?...nilikumis pia.
Kuna kale kamsemo ka kubemenda......labda kanahitaji thredi yake..
hapo sasa ndo ninaposhindwana na wewe sasa!
Kubemenda kama weye siye baba wa huyo mtoto; ama unachapa kavu huko nje haafu unarudi kavu ndani na pia ni kumbebesha mimba angali akinyonyesha! :focus:
Kuna kale kamsemo ka kubemenda......labda kanahitaji thredi yake..
:clap2:mbona nimehasema ishu ya ukali kwangu haiendani na hiyo mambo coz hata kama akiwa hayupo na aipokuwepo c aninnipa na cha akiba?( alifanya kazi yake ipasavyo)...umenipata?
Umeshamsahau Teamo mara hii. For him na group lake "for men Infidelity is there to stay but for women its a big NO" Kwa kifupi mwanamke hatarajiwi kutoka nje ya ndoa.ni kwa mwanamke tu? mie nadhani mke/mume akinza kutoka nje nddio bac tena.
mi ndo najua ukweli bwana!...lol...c ukweli lakini?
Kina nani hao???????????????bahati yenu nzuri, ukimaanisha sisi tunatoka na roho zetu kabisa, hamuoni kama nyie ndio mnasabanisha yote haya, kuna wale wanatumia formula ya if u do me i do u, sasa ukimduu na yeye anakuduu,sasa hamuoni mnajiletea matatizo wenyewe?
Inawezekana huchoki kwa sababu anamega nje.cjui kwa wengine lakini mie hanichoshagi, ndio starehe yangu hiyo.....mdogo wangu anachokaga?
lol...c ukweli lakini?
YOU CAN SAY THAT AGAIN AND AGAIN AND AGAIN!Umeshamsahau Teamo mara hii. For him na group lake "for men Infidelity is there to stay but for women its a big NO" Kwa kifupi mwanamke hatarajiwi kutoka nje ya ndoa.
blue...unaweza ucmbemende pia....