Angalau....hii ni kweli asilimia 120. kama leo mi nna hasira kinoma,oooh maimai usipime......... kitaalamu wanasema mwanamke akipata orgasim basi anakua so happy.the hapiest one.na wanaridhika sana. akikosa hata watoto watatizamwa vibaya,ingawa kosa si lao.sasa mbaya zaidi ni pale ukute mtu muzima hapendi discussion kuhusu majamboz basi mamiiito atabaki anaumia tu.
Ni kweli ftom my exprience sitaki maswali.
Mh mie sina cha kuchangia hapa kwani kwangu hii haiapply: Kuna wakati nimekaa kwa muda mrefu tu bila ku'fikishwa' plus mafrustrations kibao tu kwenye hiki nyanja but I think it was the very time I was soo calm- sasa sijui inategemea na reaction ya mtu na mtu au!
nyamayao unanifurahisha na comments zako
Inasemekana mwanamke asiepata kichapo kizuri cha chakula ya wakubwa mara kwa mara huwa bitter........kama umewahi kufanya kazi chini ya Boss mwanamke au unafanya kazi na wanawake ambao hawapati "ile mwili inataka" wanakuwa wakali wakali tuuuu....wengine wako humu, from nowhere unatukanwa 4 no reason....
Hasira na ukali vinategemea hulka ya mtu,wanawake ni viumbe wavumilivu sana ambao wanaweza kukaa muda mrefu bila kujamiana.
Siwezi kukataa hapo kwenye blue..... kwa sababu sikuwa nikijielewa niko kundi gani : mwenye kupata au kukkosa nilijiona kawaida kuliko kawaida yenyewe so inawezekana ndo nilikuwa naanza stage za depression Mbu...MJ'1 pole na kuvuka mtihani huo, huenda hali yako yako ilichangiwa na depression japo kidogo.
NOT SATSFACTORY!........Kwa faida ya Teamo ........ sikuchepuka hata siku moja but baada ya kuona 'hailipi' niliachia ngazi ili kupana nafasi ya kuwa na furaha katika maisha hayo.
Nafikiri nimejibu swali lako mheshimiwa.
NOT SATSFACTORY!........
ni kama hujajibu vile yani:A S-coffee::A S-coffee::A S-coffee:
Inasemekana mwanamke asiepata kichapo kizuri cha chakula ya wakubwa mara kwa mara huwa bitter........kama umewahi kufanya kazi chini ya Boss mwanamke au unafanya kazi na wanawake ambao hawapati "ile mwili inataka" wanakuwa wakali wakali tuuuu....wengine wako humu, from nowhere unatukanwa 4 no reason....
Teamo na Maskini _Jeuri...... it is your homework. Go an sit on it hahahaha mmenishikia baaaango wakati ndo nimeshawajibu!!
Darling Keizer hahah hebu ntake radhi upesi mpenzi kabla 'sijanuna' ati.............. mie na ugomvi wapi na wapi?hivi Luv unagombea kwa tiketi ya UVICCM? Kura 'zilitosha'?:tape: (nimekumiss)
Umeshamsahau Teamo mara hii. For him na group lake "for men Infidelity is there to stay but for women its a big NO" Kwa kifupi mwanamke hatarajiwi kutoka nje ya ndoa.