Eti inawezekana?...UVUMILIVU MPAKA LINI?


Mkuu Sheria ya ndoa si ni hizi zimetungwa na binadamu?

Mi nazungumzia maandiko kwenye Bible. Yale yanayosema hata kumtamani tu mke wa mtu tayari umeshazini naye.

Tena imeandikwa...MKE HAACHWI ILA KWA ZINAA!...yaani kinachoweza kukufanya umtaliki mkeo ni zinaa...si magonjwa!
 
kwa hali kama hyi siwez msaliti as nakuwa nimeapa kwa mungu kuishi na kwa shida na raha bt namimi nitamsaliti pale tu nikijua nae kanisaliti au kaniletea za kuleta
 
Haya maswali ya Babu mpaka sasa bado sijaona mdada hapa jamvini aliye yachomoa kwa point inayoeleweka mpaka ikathibitisha kweli wao hawatokagi nje ya ndoa.

Babu naomba niweke dau utakalo chagua wewe. Mdada atakae tengua haya maswali namzawadia BILA ZENGWE. Tena nipo VERY SERIOUS.

Babu nifahamishe tu dau ni lipi kwa PM niiandae mapema.

Maana naanza kupata konklushen kwamba WANAUME NI WAWAZI na WANAWAKE NI WASIRI SANA ktk haya mambo
 

Buke ahsante kwa hii yuziful posti..... huo ndio ukweli halisi japo kina mama wengi humu ndani huwa wanaubishia sana.

Ahsante pia kwa hatimaye kujua kumbe wewe ni mwanamke. JF kaazi kwelikweli!

Ahsante kwa kuwa mkwelimama yangu
 
Sidhani kwa hali aliyonayo mumewe huyu mama kama anaweza kufikiria kuomba talaka i doubt, hata kwa mazingira ya sasa pia i doubt kama wewe mgonjwa halafu mkeo akakuomba talaka halafu ukampa, unless you don't love her


Ndio hapo waswahili wakalonga kuwa bora lawama kuliko fedheha......................, lazima tujifunze kuchagua moja kuliko kuishi kwa maigizo, ila ktk yote Mungu atangulizwe ili mtu uweze kufanya uamuzi sahihi, ni rahisi kunyoosha kidole na kusema mtu flani amekosea, lakini ujue kuwa ajuae kiatu kimembana ni yule aliekivaa, so mimi nachoweza kusema ni kumlaumu Bwana X sababu amemlia rafikiye wa karibu, lakini huyu mama nae da!!!! complicated jamani.................... tumwachie Mungu anajua (ALLAH KNOWS MUCH)
 
Babu mdogo...hii ni ngumu kumesa....hilo swala la dau...huoni hiyo ni sababu ya kukutana Zero Pub leo kulijadili? Hebu msome msiri mwingine huyu hapa chini...LOL

kwa hali kama hyi siwez msaliti as nakuwa nimeapa kwa mungu kuishi na kwa shida na raha bt namimi nitamsaliti pale tu nikijua nae kanisaliti au kaniletea za kuleta
 

ndo maana wajukuu zako bado tunasoma mchezo!
ngoja wanawake watupe experience
 

Hili ndio jambo la msingi hasa.
 
Asprin babu yangu najiuliza swali moja kabla sijapata majibu ..
Hivi kama Mtu unaweza kuishi forever and ever bila kupata hiyo kitu ?Mwili kwanza unakuwa hauko active au ume -expire ?
Hii ni mitihani mikubwa sana ya maisha
Lakini kwa kesi ya huyu dada hata sijui nisemeje mie?
Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema atusaidie na aendelee kutupa rehema na hekima zake kama mfalme Suleiman
 

Babu hata wanadamu wamewekwa na Mungu, Hivyo chochote halali kitokacho kwa mwanadamu, kimetoka kwa mungu, Suala la dini na sheria japo vinakinzana lakini vinaenda sambamba, lengo ni kutoa migogoro isiyo ya msingi, na Islamic law inakubali kabisa hili suala tatizo la Bible wakristu tulio wengi hatujui kuwa inatupasa kuisoma na kuijua kwa maana inakila kitu, tunapick vijimistari na kuvitumia kuacomodate matakwa yetu(TUNACHAKACHUWA)....................., ila twende mbele turudi nyuma hata kama na dini yako bado uanadamu ndio suluhisho hapo
 
Babu, nami niseme hivi,
mambo haya ya viapo yanafanyika mbele ya Muumba; na inategemeana na hawa wawili wanamheshimu vipi huyu Muumba. Kweli kama unamcha Mungu na unampenda mume/mke wako, utavumilia. Ni kweli jaribu hili ni gumu sana, lakini kwa msaada wake Mungu utaweza kama umedhamiria. Kwa wanadamu haiwezekani, lakini kwa Mungu yote yanawezekana.
Mbarikiwe na nawatakia siku njema.
 

Hahahaha...mama wakwanza moja bana!
Usisikitike, changia mada hapo bana.
Yaani jamaa limeshakunjesha utamu. Ushajua raha yake, haipiti siku mbili unaihitaji...mara ghafla imebuma...nawe ndo kwanza una miaka miwili katika ndoa. Bado mbichi na vijana mtaani hawakomi kukukonyeza...

Hutamuacha mmeo anagumia kwa maumivu kitandani ukamegwe mtaani huko?
 
mmh!ama kweli inasikitisha lkn uvumilivu hapo ni utata mtupu,huyo mama kuvumilia lazma ingekuwa ngumu kwa vile ana hisia na analala kitanda kimoja na mumewe wakati mwingine kile kiapo kimekuwa nadharia zaidi.
 

Hahahahah....Keren..

Leo kina Mama mmemtumia Mungu sana kujikinga LOL

Tunapokuwa wazima mnaenda kuchakachuliwa huko mnajifanya hamfanyi! Tunapokuwa wagonjwa mnasema Mungu atawasaidieni....babu ako konfyuzdi!
 
.......Hutamuacha mmeo anagumia kwa maumivu kitandani ukamegwe mtaani huko?

Ikitokea katika umri mkubwa ndoa inavumilika.....ila wanandoa wako chini ya miaka 40 inakua haiwezekani (angalao kwa nguvu za kibinadamu)....
 
 
Aisee Michelle kama haya uliyoyaandika hapa ni ya kweli na ukweli mtupu......Najuta kwanini nilichelewa kukufahamu. NINGEKUOA!

Una mke mwema,wajua hilo acha story zako hapa.....ni kweli,si chakula kile au pumzi kwamba ukikosa unakufa Babu!
 


Umenifurahisha sana leo CPU unajua nachoongelea pata haki yako


The Following 2 Users Say Thank You to CPU For This Useful Post:

Asprin (Today), Dena Amsi (Today)​
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…