Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti nauliza ipo style ya kupata watoto pacha au wakiume au wakike ? Unapohitaji kupata aina hio ya watoto ?
kuhusu pacha, yupo dr mmoja ambae nahudhuria klinic yake, anavyodai yy zipo dawa kutoka nje ambazo anazo zinazobadilisha mfumo wa utoaji mayai kww mwanamke.
alivyonielekeza mm ni kua mwanamke ana mayai 300, na kila mwezi anatoa moja, na hakuna mwanamke ambae anaweza kuzaa watoto mpk ayamalize mayai yake yote.
sasa anachofanya yy hubadilisha mfumo wa utoaji mayai badala ya kutoa moja mwanamke anaweza kutoa mayai hata 5, au 4 au 3 au 2, then ukikutana na mwanaume katika kipindi cha ovulation uwezekano mkubwa wa kuzaa twins unakuwepo.
ukihudhuria clinic yake utagundua ni dr mzuri maana utakuta wanawake tumejipanga, tunatafuta watoto. Mungu aingilie kati kwa kweli..
Mtoto wa kidato cha tatu mwenye miaka 16 anaweza kukujibu kwa ufafanuzi,mkuu shule ni muhimu sanaEti nauliza ipo style ya kupata watoto pacha au wakiume au wakike ? Unapohitaji kupata aina hio ya watoto ?