Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
Tarehe ya hukumu ya Morrison ikikaribia, habari za usajili wa Chama huibuka
Mpe 308Kwasasa habari ya mjini ni Mwamba wa Lusaka, ambaye masaa machache yajayo atatangazwa kuwa amesinya mkataba ndani ya klabu ya Yanga, hivyo ukiwa kama mdau wa michezo na mwanayanga unafikiri Chama tumoe jezi namba ngapi jamani?
NB
Kila mbuzi ale urefu wa kamba yake
Kwasasa habari ya mjini ni Mwamba wa Lusaka, ambaye masaa machache yajayo atatangazwa kuwa amesinya mkataba ndani ya klabu ya Yanga, hivyo ukiwa kama mdau wa michezo na mwanayanga unafikiri Chama tumoe jezi namba ngapi jamani?
NB
Kila mbuzi ale urefu wa kamba yake
Namba moja akae goliniKwasasa habari ya mjini ni Mwamba wa Lusaka, ambaye masaa machache yajayo atatangazwa kuwa amesinya mkataba ndani ya klabu ya Yanga, hivyo ukiwa kama mdau wa michezo na mwanayanga unafikiri Chama tumoe jezi namba ngapi jamani?
NB
Kila mbuzi ale urefu wa kamba yake
Kitu kizito hikiTarehe ya hukumu ya Morrison ikikaribia, habari za usajili wa Chama huibuka
Pamoja na kuwa mwanachama wa Yanga,ila kinachoendelea naona hakina umuhimu na mantiki yoyote, tujadili vitu vya msingi, miundombinu ya timu yetu kama kiwanja cha mazoezi, na hata kuwa na kiwanja chetu .....ila kujadili haya maujinga inasikitisha sanaKwasasa habari ya mjini ni Mwamba wa Lusaka, ambaye masaa machache yajayo atatangazwa kuwa amesinya mkataba ndani ya klabu ya Yanga, hivyo ukiwa kama mdau wa michezo na mwanayanga unafikiri Chama tumoe jezi namba ngapi jamani?
NB
Kila mbuzi ale urefu wa kamba yake
Wewe una akiliPamoja na kuwa mwanachama wa Yanga,ila kinachoendelea naona hakina umuhimu na mantiki yoyote, tujadili vitu vya msingi, miundombinu ya timu yetu kama kiwanja cha mazoezi, na hata kuwa na kiwanja chetu .....ila kujadili haya maujinga inasikitisha sana
Mpeni Jezi namba 1 mtani.Kwasasa habari ya mjini ni Mwamba wa Lusaka, ambaye masaa machache yajayo atatangazwa kuwa amesinya mkataba ndani ya klabu ya Yanga, hivyo ukiwa kama mdau wa michezo na mwanayanga unafikiri Chama tumoe jezi namba ngapi jamani?
NB
Kila mbuzi ale urefu wa kamba yake
Nadhani umeshajua ni kwa nini hii imevuma hivi karibuniaisee utawapasua watu mishipa ya damu kwa hasira.
Hii timu ya wananchi kuna bomu wanalitengeneza, naona dalili za timu kufungwa goli kumi