Perry JF-Expert Member Joined Feb 24, 2011 Posts 10,058 Reaction score 2,195 Apr 19, 2012 #21 Dhambi nyingne,hata shetani atakua anasingiziwa tu.
Dotworld JF-Expert Member Joined Aug 10, 2011 Posts 4,035 Reaction score 3,776 Apr 19, 2012 #22 Senetor said: Dhambi nyingne,hata shetani atakua anasingiziwa tu. Click to expand... . Dhambi nyingine hata Shetani hushtuka!, Kushangaa na kuogopa sana .... na huwa anajiuliza ... duh! hivi binadamu anaweza hata kufanya dhambi mbaya namna hii! ... maana hata yeye shetani mwenyewe anaogopa kuifanya .
Senetor said: Dhambi nyingne,hata shetani atakua anasingiziwa tu. Click to expand... . Dhambi nyingine hata Shetani hushtuka!, Kushangaa na kuogopa sana .... na huwa anajiuliza ... duh! hivi binadamu anaweza hata kufanya dhambi mbaya namna hii! ... maana hata yeye shetani mwenyewe anaogopa kuifanya .
Laigwanan76 JF-Expert Member Joined Nov 21, 2010 Posts 551 Reaction score 153 Apr 19, 2012 #23 Kweli anti-Christ/Dhajjal tunae tunaishi nae sasa
K kabos katoto Member Joined Mar 28, 2012 Posts 5 Reaction score 1 Apr 19, 2012 #24 ujue kuna wa2 wanakuwa wanahamu ya kupata mikosi 2.