Eti kadata na sauti yangu tu

tatizo lako wewe ulimjaribu huyo binti ukiamini mwanza ni mbali
na hawezi kuwa na uzalendo wa kukufuata. sasa unalo unatafuta pa kutokea.
hilo ni funzo kwako kwamba mabinti wengine hawajaribiki, hapo lazima umpe
binti ile kitu roho inapenda. lol
 
Kuna mtu aliwahi kusema jf wavulana ni wengi kuliko wanaume! Nimeanza kuamini.
 
Zari ilo mpige nao si kataka mwenyewe then sox zipo kibao sikuizi acha usharo dogo,ingekuwa mimi kitamboo...nishamaliza show
 
ni kwamba baada ya kuckia saut yangu ndo ameshawishka zaidi kunihitaji.

kuna watu unaweza kujua sehemu ya tabia zao katika maongezi. inaweezekana baada ya kukusikia akazidi kukuelewa na kuvutika.
 
sasa,mbaya zaidi,binti anataka kufunga safari toka mwanza aje dar kunifuata!

vipi c umemuona kwenye picha lakini? at least unapata frame ya figure yake,hiyo huwa inatokea mkuu,kama nawe umeridhia mwambie aje tu
 
vipi c umemuona kwenye picha lakini? at least unapata frame ya figure yake,hiyo huwa inatokea mkuu,kama nawe umeridhia mwambie aje tu

yeah!nimemuona kwenye picha,yuko fresh tu.
 
hahaaaaaaaaaaaaaaaaaa u made ma day mpz
 
Kama wamekutana face book kuna haja kweli ya kutumiana picha wakati ni mtandao wa kuuza sura. Lbda wangekuwa wamekutana JF.


 
Afu jamani embu nielewesheni maana naona ninaanza kupitwa na wakati.

Ukiwa facebook unaweza kuchat na mtu yeyote hata usomjua?; is it that much open?

Yaani watu wanaanzaje anzaje kuconnect na strangers na kuanza kuchat.

Wanagoogle tu kwa jina kama bahati nasibu au inakuwaje?

Na kwa nini uwe desperate kutafuta connection ya strangers wakati you can connect with friends that you already know.

I want to research on that, na ntaanzia kwa watoto wa ndugu zangu ambao nawaona wako fb.

Kwa mtindo huu wenye watoto wa kike kuweni makini wasije kuharibiwa na hii social network.
 
yeah!nimemuona kwenye picha,yuko fresh tu.

mruhusu aje tena fasta,nami nilishawah kupiga kwa style hiyo kaka,na alikuwa fresh tu,usilaze damu,watakucheka watu? Ooh!
 
...lol,...usijali.

sasa nawe unatumia jitihada gani kumuonyesha humuhitaji maishani mwako?

Yaani hizi product za facebook kwakweli ni hasara tupu! The way amejibu swali lako inaonesha wazi kabisa nayeye ameshamtamani huyo binti na ameshakubali kubanjuana nae!! I wish yale maghost ya kunyofoa ndude za watu wenye tamaa ka hizo yangefika labda wangerekebisha misimamo yao!!
 
hiyo kiu sometime inasumbua sana watu wengi tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…