Ralphryder
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 5,168
- 1,549
Ameongea ktk mkutano wa jangwani na kujifanya kumfagilia mhe Rais kikwete! Na eti anamwomba asisaini mswada wa katiba mpya! He kanisa limemshinda anajaribu kete ya siasa baada ya kushtukiwa na waumini wake!