Huyu hajatandikwa bakora sawasawa ! unazani angechapwa sawasawa hata hilo jasho angeliona?, kuna siku nilimuinamia mdada wa watu na mimeno yangu imejaa ugoro! kulaleki! mdada badala ya kishindo kuwa kikali ugoro aliukonfyuzi na goldi! Namskia ananung'unika " khaaaa! honey kumbe una meno ya goldi?".